Unahisi mwana JF yukoje kimtazamo wako

Unahisi mwana JF yukoje kimtazamo wako

Kaizer ni m'baba mmoja mrefu kiasi na ana mwili wa wastani,anapenda sana familia yake..na kila siku lazima anywe bia

Asprin ni mrefu kiasi lakini kutokana na unene na kitambi chake kikubwa anaaonekana mfupi..anapenda utani sana wa kibazazi lakini kiuhalisia wala si bazazi

sungura1980
..ni kijana mtanashati ,mpole na hana majivuno

figganigga huyu ni mrefu na aanapenda sifa

lara 1 ni msichana anaependa kufuata kile moyo wake unataka..hata watu alfu mpinge hatojali

miss neddy ni mtoto wa mwisho na anadeka

Mwanyasi ni mkaka mpole anajiheeshimu,anapenda masihara kiasi,,,ila ukimchokoza cha moto utakiona

Ntuzu anaonekana ni baba wa watoto wawili hivi...na anampenda sana na kumjali mkewe

mwekundu huyu ni mtaratibu..anapenda kampani ya wasichana wembamba warembo sana...halafu ni mtu maarufu maeneo ya kwao

Karucee ni mdada mchangamfu kiasi,anampenda Mungu na anapenda kuijpa raha/kujirusha kiasi



..
 
Kaizer ni m'baba mmoja mrefu kiasi na ana mwili wa wastani,anapenda sana familia yake..na kila siku lazima anywe bia

Asprin ni mrefu kiasi lakini kutokana na unene na kitambi chake kikubwa anaaonekana mfupi..anapenda utani sana wa kibazazi lakini kiuhalisia wala si bazazi

sungura1980
..ni kijana mtanashati ,mpole na hana majivuno
figganigga huyu ni mrefu na aanapenda sifa lara 1 ni msichana anaependa kufuata kile moyo wake unataka..hata watu alfu mpinge hatojali

miss neddy ni mtoto wa mwisho na anadeka


Ntuzu anaonekana ni baba wa watoto wawili hivi...na anampenda sana na kumjali mkewe
..

Nakubaliana na wewe hasa hapo kwa Kaizer na miss neddy. Ila Asprin mi nahisi ni mwembamba af mfupi-mfupi hivi....yan ana mwili mdogo...ana watoto wawili
 
Last edited by a moderator:
maneno ya Asprin mara nyingi yanasemwa na watu wenye vitambi ..
Nakubaliana na wewe hasa hapo kwa Kaizer na miss neddy. Ila Asprin mi nahisi ni mwembamba af mfupi-mfupi hivi....yan ana mwili mdogo...ana watoto wawili
 
Last edited by a moderator:
Kaizer ni m'baba mmoja mrefu kiasi na ana mwili wa wastani,anapenda sana familia yake..na kila siku lazima anywe bia

Asprin ni mrefu kiasi lakini kutokana na unene na kitambi chake kikubwa anaaonekana mfupi..anapenda utani sana wa kibazazi lakini kiuhalisia wala si bazazi

sungura1980
..ni kijana mtanashati ,mpole na hana majivuno

figganigga huyu ni mrefu na aanapenda sifa

lara 1 ni msichana anaependa kufuata kile moyo wake unataka..hata watu alfu mpinge hatojali

miss neddy ni mtoto wa mwisho na anadeka

Mwanyasi ni mkaka mpole anajiheeshimu,anapenda masihara kiasi,,,ila ukimchokoza cha moto utakiona

Ntuzu anaonekana ni baba wa watoto wawili hivi...na anampenda sana na kumjali mkewe

mwekundu huyu ni mtaratibu..anapenda kampani ya wasichana wembamba warembo sana...halafu ni mtu maarufu maeneo ya kwao

Karucee ni mdada mchangamfu kiasi,anampenda Mungu na anapenda kuijpa raha/kujirusha kiasi



..
mwallu nakuhitaji parokiani sasa hivi.....
 
Last edited by a moderator:
Nakubaliana na wewe hasa hapo kwa Kaizer na miss neddy. Ila Asprin mi nahisi ni mwembamba af mfupi-mfupi hivi....yan ana mwili mdogo...ana watoto wawili

Wewe Khantwe wewe......haya tu
 
Last edited by a moderator:
Kaizer ni m'baba mmoja mrefu kiasi na ana mwili wa wastani,anapenda sana familia yake..na kila siku lazima anywe bia

Asprin ni mrefu kiasi lakini kutokana na unene na kitambi chake kikubwa anaaonekana mfupi..anapenda utani sana wa kibazazi lakini kiuhalisia wala si bazazi

sungura1980
..ni kijana mtanashati ,mpole na hana majivuno

figganigga huyu ni mrefu na aanapenda sifa

lara 1 ni msichana anaependa kufuata kile moyo wake unataka..hata watu alfu mpinge hatojali

miss neddy ni mtoto wa mwisho na anadeka

Mwanyasi ni mkaka mpole anajiheeshimu,anapenda masihara kiasi,,,ila ukimchokoza cha moto utakiona

Ntuzu anaonekana ni baba wa watoto wawili hivi...na anampenda sana na kumjali mkewe

mwekundu huyu ni mtaratibu..anapenda kampani ya wasichana wembamba warembo sana...halafu ni mtu maarufu maeneo ya kwao

Karucee ni mdada mchangamfu kiasi,anampenda Mungu na anapenda kuijpa raha/kujirusha kiasi



..

Dada Yangu unaweza sn kumhisi Mtu kwa kuongea nae Na kuweza kumfahamu kiasi! Hongera sn!

Wifi yako Yani mke wngu ana raha sn! Hujakosea dada yng mke wangu ndio kila kitu!


Ila kwa Karucee hapo umemifurahisha Kweli! Si Unajua tena dada yng!?
 
Last edited by a moderator:
Last edited by a moderator:
Kaizer ni m'baba mmoja mrefu kiasi na ana mwili wa wastani,anapenda sana familia yake..na kila siku lazima anywe bia

Asprin ni mrefu kiasi lakini kutokana na unene na kitambi chake kikubwa anaaonekana mfupi..anapenda utani sana wa kibazazi lakini kiuhalisia wala si bazazi

sungura1980
..ni kijana mtanashati ,mpole na hana majivuno

figganigga huyu ni mrefu na aanapenda sifa

lara 1 ni msichana anaependa kufuata kile moyo wake unataka..hata watu alfu mpinge hatojali

miss neddy ni mtoto wa mwisho na anadeka

Mwanyasi ni mkaka mpole anajiheeshimu,anapenda masihara kiasi,,,ila ukimchokoza cha moto utakiona

Ntuzu anaonekana ni baba wa watoto wawili hivi...na anampenda sana na kumjali mkewe

mwekundu huyu ni mtaratibu..anapenda kampani ya wasichana wembamba warembo sana...halafu ni mtu maarufu maeneo ya kwao

Karucee ni mdada mchangamfu kiasi,anampenda Mungu na anapenda kuijpa raha/kujirusha kiasi



..

hahahahahahahaha umeunga dots mwallu eeeeeh
 
Last edited by a moderator:
Kaizer ni m'baba mmoja mrefu kiasi na ana mwili wa wastani,anapenda sana familia yake..na kila siku lazima anywe bia

Asprin ni mrefu kiasi lakini kutokana na unene na kitambi chake kikubwa anaaonekana mfupi..anapenda utani sana wa kibazazi lakini kiuhalisia wala si bazazi

sungura1980
..ni kijana mtanashati ,mpole na hana majivuno

figganigga huyu ni mrefu na aanapenda sifa

lara 1 ni msichana anaependa kufuata kile moyo wake unataka..hata watu alfu mpinge hatojali

miss neddy ni mtoto wa mwisho na anadeka

Mwanyasi ni mkaka mpole anajiheeshimu,anapenda masihara kiasi,,,ila ukimchokoza cha moto utakiona

Ntuzu anaonekana ni baba wa watoto wawili hivi...na anampenda sana na kumjali mkewe

mwekundu huyu ni mtaratibu..anapenda kampani ya wasichana wembamba warembo sana...halafu ni mtu maarufu maeneo ya kwao

Karucee ni mdada mchangamfu kiasi,anampenda Mungu na anapenda kuijpa raha/kujirusha kiasi



..

Hahahaaaaa,dadangu mwallu umesema miss neddy anadeka ehee!!!Hahahahaa,mimi ni kama R.Ongara
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom