Unahisi mwana JF yukoje kimtazamo wako

Unahisi mwana JF yukoje kimtazamo wako

kiwatengu nahisi ni kijana wa makamo kitambi cha mbali alafu ngongotii ndevu ananyoa zote....
 
Last edited by a moderator:
Last edited by a moderator:
1.farkhina,ni mwarabu wa dubai na ana share Emirates,
2 FaizaFoxy,ni mwanamke mrembo na pia ni mbunge wa ccm,
3.MziziMkavu,mganga wa ajadi anayepiga hela mitaa ya juu,
4.Excel,ni waziri wa fedha,
5.nduki,ni ofisa wa TISS,na ndio maana hatulii wakati wote yuko kitaani ili kuwagundua memba wengine wa Panya Road,
6.Jerrymsigwa,ni balozi wa TZ nchini UTURUKI na ndiye aliyemwalika MZEE MAJUTO kwenda kutembelea kule,
7.mbeya yetu,ndiye MR II,
8 Asprin,ndiye babu wa LOLIONDO,
9 figganigga,ndiye MUHIDIN MICHUZI,
10 Kaizer,ni mtu wa Mungu anayeichukia pombe,
Nalog off
 
Last edited by a moderator:
farkhina,ni mwarabu wa dubai na ana share Emirates, faizafox,ni mwanamke mrembo na pia ni mbunge wa ccm, MziziMkavu,mganga wa ajadi anayepiga hela mitaa ya juu, Excel,ni waziri wa fedha, nduki,ni ofisa wa TISS,na ndio maana hatulii wakati wote yuko kitaani ili kuwagundua memba wengine wa Panya Road, Jerrymsigwa,ni balozi wa TZ nchini UTURUKI na ndiye aliyemwalika MZEE MAJUTO kwenda kutembelea kule, mbeya yetu,ndiye MR II,
Nalog off
@

Ha ha haaaa mkuu Washawasha mi niko Balozi wa nyumba 10 tu! Huko msumbuji hawajambo jambo?
 
Last edited by a moderator:
1.farkhina,ni mwarabu wa dubai na ana share Emirates,
2 FaizaFoxy,ni mwanamke mrembo na pia ni mbunge wa ccm,
3.MziziMkavu,mganga wa ajadi anayepiga hela mitaa ya juu,
4.Excel,ni waziri wa fedha,
5.nduki,ni ofisa wa TISS,na ndio maana hatulii wakati wote yuko kitaani ili kuwagundua memba wengine wa Panya Road,
6.Jerrymsigwa,ni balozi wa TZ nchini UTURUKI na ndiye aliyemwalika MZEE MAJUTO kwenda kutembelea kule,
7.mbeya yetu,ndiye MR II,
8 Asprin,ndiye babu wa LOLIONDO,
9 figganigga,ndiye MUHIDIN MICHUZI,
10 Kaizer,ni mtu wa Mungu anayeichukia pombe,
Nalog off

Hahaha...hii kubwa kuliko....
 
Last edited by a moderator:
1.farkhina,ni mwarabu wa dubai na ana share Emirates,
2 FaizaFoxy,ni mwanamke mrembo na pia ni mbunge wa ccm,
3.MziziMkavu,mganga wa ajadi anayepiga hela mitaa ya juu,
4.Excel,ni waziri wa fedha,
5.nduki,ni ofisa wa TISS,na ndio maana hatulii wakati wote yuko kitaani ili kuwagundua memba wengine wa Panya Road,
6.Jerrymsigwa,ni balozi wa TZ nchini UTURUKI na ndiye aliyemwalika MZEE MAJUTO kwenda kutembelea kule,
7.mbeya yetu,ndiye MR II,
8 Asprin,ndiye babu wa LOLIONDO,
9 figganigga,ndiye MUHIDIN MICHUZI,
10 Kaizer,ni mtu wa Mungu anayeichukia pombe,
Nalog off

Hahahahaha nimechekaaa ati nna share emirates lol...hujambo lakini?

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom