Kuna mmoja umesahau kumuweka mkuu.... Yule ambae lasti wiki alikua mwanza na akamuamuru yule anae taka kumdhulumu yule mama kiwanja ashughulikiwe, na kisha akatowa tamko kuhusu wale waliojenga ndani ya eneo la jeshi wasibomolewe...[emoji34] [emoji34]
Yaani umesahau kumtaja yule ambaye wikiendi alikua shuttle akisikiliza nyimbo za kilugha chao, huku akiwa amekaa chini kwenye tandiko lainiiiiiiii na mama yake pembeni......[emoji47] [emoji47] [emoji47]
Kwahiyo unataka kusema umesahau kumtaja yule jamaa ambaye alitamka hadharani kwamba "leo nimewasamehe" na kisha baada ya pale akaandika barua ya kuwafukuza jobu wale vigogo wawili kule "Basibhota" Iweee" Agandi" Waitu........[emoji13] [emoji13] [emoji13]
Au unaona kama yeye sio mkorofi?
Yaani anazidiwa ukorofi na hao ulio wataja.... [emoji47] [emoji47] [emoji47]
Kweli ze woldi iz noti fea kabisa