Unahisi nani ni mbabe, unaogopa usiingie kwenye 18 zake

Unahisi nani ni mbabe, unaogopa usiingie kwenye 18 zake

Jitu jeusi

JF-Expert Member
Joined
Oct 18, 2015
Posts
1,715
Reaction score
2,385
Nani mbabe & nani mrembo kwa hawa watu watatu

1. Kalapina

Kara_Pina.jpg

huyu mshikaji anafahamika kwa ukorofi lani nguvu jiwe.. ona video hapo chini alivyo mfanyaga chidbeenz maisha club



Mzee wa kikosi cha mizinga kipindi kileeeeeeeee
Karapina_studo.jpg


2. Dudu baya
huyu mshikaji pia alikuwa mbabe hasa.. nahisi mna kumbuka jinsi alivyo mfaya Nice
dudu baya.jpg

Dudu-Baya.jpg


3. Ney wa mitego
Sijui skendo za ubabe huyu jamaa, ila jinsi anavyo jiweka kama mbabe vile... labda uko mazese ni mbabe
nay.jpg
ney.jpg
 
Mbabe wao ni S kide mtot9 wa mama shamte.. Mume wa Young killee bwana ake neema wa mitego, Twenty percent wa WCB baba ake mdogo Tiffah..
 
Kuna mmoja umesahau kumuweka mkuu.... Yule ambae lasti wiki alikua mwanza na akamuamuru yule anae taka kumdhulumu yule mama kiwanja ashughulikiwe, na kisha akatowa tamko kuhusu wale waliojenga ndani ya eneo la jeshi wasibomolewe...[emoji34] [emoji34]

Yaani umesahau kumtaja yule ambaye wikiendi alikua shuttle akisikiliza nyimbo za kilugha chao, huku akiwa amekaa chini kwenye tandiko lainiiiiiiii na mama yake pembeni......[emoji47] [emoji47] [emoji47]

Kwahiyo unataka kusema umesahau kumtaja yule jamaa ambaye alitamka hadharani kwamba "leo nimewasamehe" na kisha baada ya pale akaandika barua ya kuwafukuza jobu wale vigogo wawili kule "Basibhota" Iweee" Agandi" Waitu........[emoji13] [emoji13] [emoji13]

Au unaona kama yeye sio mkorofi?
Yaani anazidiwa ukorofi na hao ulio wataja.... [emoji47] [emoji47] [emoji47]

Kweli ze woldi iz noti fea kabisa
 
Namuhanya sana USA, Israel na Mrusi hawa uliowaweka hapa warembo tu. Tena warembo wa Dar chips kuku mchina.
 
Mimi wanaume wote ni wababe kwangu kwa sbb swezi pigana nao
 
Katika wote hao ney ndio mrembo zaidi.. sihofii kukutana nae hata niwe naumwa malaria 3, hanitishi.
 
Back
Top Bottom