BABA SANIAH
JF-Expert Member
- Oct 20, 2013
- 4,606
- 5,922
Dinazarde,ila yeye hanijui
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukiambiwa unakisabengo utabisha?Dinazarde,ila yeye hanijui
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]Emmyta uyu nahisi ni jirani yangu kabisa
Cc naniliu
Sura za watu wa humu ziko kwenye mindUnaweza kuona uzi hapa JF mpaka ukahisi umeandikiwa wewe au huyo aliyeandika utakuwa unamjua, ni nani huyo au uzi gani funguka mwana JF tuburudike hapa, mimi wangu utakuja soon.
Nimekusoma. Huu kama mtego vile.Ile kesi ya JF ambayo Max anahangaika nayo nadhani inamtaka awataje baadhi ya watu walioandika hbr flani humu.
Thread nyingine mtu unaweza kuzisoma kisha usielewe mtoaji ana lengo gani.!!,?
Am just thinking LOUD
lossoJR namjua,ni mwanangu sanaaa,sema yeye hajanisoma!!Unaweza kuona uzi hapa JF mpaka ukahisi umeandikiwa wewe au huyo aliyeandika utakuwa unamjua, ni nani huyo au uzi gani funguka mwana JF tuburudike hapa, mimi wangu utakuja soon.
Hahahahaaaaa,,,,,,,,taratibu unamfuata Sergio 5 kwa ukorofiDeo kisandu she is my best friend