The Burning Spear
JF-Expert Member
- Dec 23, 2011
- 4,118
- 9,864
Kufikia malengo gani mkuu?Hi Great Thinkers.
Hii dunia imejaa distractions amabazo sometimes zinaweza kukupotezea malengo y'ako.
Sasa Kwa wale wanaojitafuta na hustlers unazani ni vitu vipi vimekupotezea malengo.yako miaka iliyopita na unahisi.ukiachana navyo unaweza kusonga mbele Zaidí. 2025.na kuendelea.
Baadhi ya vitu ni.
1.Mpira
2.Pombe
3.Marafiki wa hovyo.
4. Ugomvi
5.Misabwanda
6.Kukata Tamara
7. Kughairi mambo
8.Kuongelea Maisha ya watu wengine.
9.Matumizi.ya hovyo bila bajeti.
10.Kutokuongeza maarifa.
11.Matumizi makubwa ya mitandao ya kijamii yasiyo na tija.
Haya ongezea na wewe
MdemHi Great Thinkers.
Hii dunia imejaa distractions amabazo sometimes zinaweza kukupotezea malengo y'ako.
Sasa Kwa wale wanaojitafuta na hustlers unazani ni vitu vipi vimekupotezea malengo.yako miaka iliyopita na unahisi.ukiachana navyo unaweza kusonga mbele Zaidí. 2025.na kuendelea.
Baadhi ya vitu ni.
1.Mpira
2.Pombe
3.Marafiki wa hovyo.
4. Ugomvi
5.Misabwanda
6.Kukata Tamara
7. Kughairi mambo
8.Kuongelea Maisha ya watu wengine.
9.Matumizi.ya hovyo bila bajeti.
10.Kutokuongeza maarifa.
11.Matumizi makubwa ya mitandao ya kijamii yasiyo na tija.
Haya ongezea na wewe
SawaNothing...🤗
Wewe tunakujua ujuaji mwingiNothing...🤗
Kama.huna malengo pita kushoto hapakuhusu.hapaKufikia malengo gani mkuu?
Ili upunguze makasiriko, tafuta tu hela mkuu..😂Wewe tunakujua ujuaji mwingi
Huwezi kuwa na hela afu na mapengo yote kama hayoIli upunguze makasiriko, tafuta tu hela mkuu..😂
Hiyoi Tamaa typing error..kama hujanielewa basiMimi nadhani sijakuelewa point yako nini hasa.
Pia hiyo namba sita ni kukata tamara ni kitu gani?
SureKirisk 2025 i will risk everything my time, my comfort,my last penny