Unahisi ni mambo gani ukiachana nayo 2025 unaweza kufikia malengo yako?

Kijana acha yafutayo
1.kuamini ushirikina
2.wanawake
3.tamaa
4.kuishi bila malengo
5.marafiki wanafki
 
Kuongeza bajeti yakuwa tembelea WAHITAJI hasa yatima na wajane/// siri kubwa ilio JIFICHA kwenye hili///
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…