Superb2014
JF-Expert Member
- Jul 29, 2017
- 9,266
- 7,426
Kuwa na msongo wa mawazo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tumeshtukaa........Punyeto ni hatari kwa AFYA ya mwili na kiakiliUnafanya kuchagua Location, upige punyeto juu ya ndoo ya maji, juu ya mtungi wa gesi, ndani ya kabati la nguo, chini ya kitanda, nyuma ya mlango, yani ni wewe tuu
Hayo uliyotaja hayahusiani na nyeto kabisa. Acha uchochezi nyeto ni salama kabisa...Sasa kitakachotokea baada ya wewe kuwa single muda mrefu utapiga punyeto hadi magoti yaishe nguvu, halafu uumwe kichwa halafu ufe.
Hayo n matatizo yako binafsi usisingizie punyetoTumeshtukaa........Punyeto ni hatari kwa AFYA ya mwili na kiakili
Kununua gari la mlango mmojaWatu wengi wanaogopa sana kuishi bila mpenzi hasa wanawake sasa nataka kuuliza shida gani unaipata ukiwa uko single wewe mwanaume au mwanamke
Chaputa hoyeee!Nitaendelea kuwa na furaha, nitakuwa napiga punyeto kwa uhuru.
Nahisi shahawa zitakuwa na kutu wallahWatu wengi wanaogopa sana kuishi bila mpenzi hasa wanawake sasa nataka kuuliza shida gani unaipata ukiwa uko single wewe mwanaume au mwanamke?
Wengine wameumwa na babe alikuwa ndani akahama na kila kitu bila hata msaada gaadem.Mimi mwenyewe huwa nawaza hivi si ntafia ndani kwa kukosa japo msaada wa babe😪, and sometimes you have some ideas unatamani hata ungemwambia mpenzi akushauri chochote, pia namiss kubishana kwa hoja hadi kieleweke ila ...
Sawa mkuu ila at some point babe muhimu, hata kwa kubadilishana mawazo tuWengine wameumwa na babe alikuwa ndani akahama na kila kitu bila hata msaada gaadem.
Just be you usitarajie mtunakupe amani au furaha. Practice kuwa mwenyewe, yani usijilegeze no matter what
It's Obvious. Ila isikuweke desperate, sisi watu wazima tushapita huko unafika wakati unaangalia binadamu walivyo huwezi kuamini na vile tupo kwenye sekta ya kutoa haki unakutana na vitimbwi vingi vya wanandoa kwenye divorce mpaka unabaki kuhisi wewe hauna matatizo heri uenjoy life tu.Sawa mkuu ila at some point babe muhimu, hata kwa kubadilishana mawazo tu
mimi nipo lakini...usikae pekee ako.Mimi mwenyewe huwa nawaza hivi si ntafia ndani kwa kukosa japo msaada wa babe😪, and sometimes you have some ideas unatamani hata ungemwambia mpenzi akushauri chochote, pia namiss kubishana kwa hoja hadi kieleweke ila ...
Sawa babemimi nipo lakini...usikae pekee ako.
hujui!Punyeto inasababisha kichwa kuuma?
Natangaza ndoa na financial servicesMimi mwenyewe huwa nawaza hivi si ntafia ndani kwa kukosa japo msaada wa babe[emoji25], and sometimes you have some ideas unatamani hata ungemwambia mpenzi akushauri chochote, pia namiss kubishana kwa hoja hadi kieleweke ila ...
😂😍😍 na hakuna pingamizi kabisaaNatangaza ndoa na financial services
We mkuu wewe😂😂😂Unafanya kuchagua Location, upige punyeto juu ya ndoo ya maji, juu ya mtungi wa gesi, ndani ya kabati la nguo, chini ya kitanda, nyuma ya mlango, yani ni wewe tuu
Ww tuu, unabinuka utakavyoWe mkuu wewe😂😂😂