Unahisi ulimkosea katika majibizano? Tumia uzi huu kumuomba msamaha

Unahisi ulimkosea katika majibizano? Tumia uzi huu kumuomba msamaha

Melki Wamatukio

JF-Expert Member
Joined
May 3, 2022
Posts
6,156
Reaction score
10,974
Hakuna aliye mkamilifu hapa chini ya jua! Hivyo binadamu wote tu wadhaifu. Vitabu vya dini vunatuhasa kusamehe saba mara sabini ili mioyo yetu isiwe na kinyongo tena

Huu ni uzi maalumu kwa ajili ya kutakiana radhi baina ya member mmoja wa jf na mwingine. Huenda tunakosana katika majibizano ya hapa na pale katika harakati nzima ya kusogeza uzi na kutetea mawazo

Kama uliwahi kumtusi, kumkejeli, kumdhihaki, kumuudhi n.k tumia uwanja huu kusafisha nafsi yako. Na pia kwako wewe utakayetakwa radhi, usibaki na kinyongo, mjibu mwenzio walau kwa maneno matatu.

Uzi tayari...
 
Hakuna aliye mkamilifu hapa chini ya jua! Hivyo binadamu wote tu wadhaifu. Vitabu vya dini vunatuhasa kusamehe saba mara sabini ili mioyo yetu isiwe na kinyongo tena

Huu ni uzi maalumu kwa ajili ya kutakiana radhi baina ya member mmoja wa jf na mwingine. Huenda tunakosana katika majibizano ya hapa na pale katika harakati nzima ya kusogeza uzi na kutetea mawazo

Kama uliwahi kumtusi, kumkejeli, kumdhihaki, kumuudhi n.k tumia uwanja huu kusafisha nafsi yako. Na pia kwako wewe utakayetakwa radhi, usibaki na kinyongo, mjibu mwenzio walau kwa maneno matatu.

Uzi tayari...
Natumain sjawah
 
Sidhani kama ujumbe utamfikia maana hata kama yumo humu sidhani hata kama anafahamu hili jina
 
Nitumie mwanya huu kumuomba Kelsea anitake radhi! Nimeipenda avatar aliyoweka jioni hii [emoji3059]

Mkuu mzabzab nisaidie kumuelewesha kelsea kuwa maneno yote niliyompasulia zilikuwa ni pombe! Ikibidi aweke hapa account no ya benki nifanye kutransfer akamwagilie moyo jioni hii. Uthibitisho wa ujumbe wa matumo ya pesa ntauweka hapa i.e screenshot
[emoji24][emoji24]Nimekosa mimi, Nimekosa mimi, Nimekosa sana...
Naye atatakiwa kuweka maneno kama hayo hapa ili story za kula mbususu ziendelee[emoji28]
 
Nitumie mwanya huu kumuomba Kelsea anitake radhi! Nimeipenda avatar aliyoweka jioni hii [emoji3059]

Mkuu mzabzab nisaidie kumuelewesha kelsea kuwa maneno yote niliyompasulia zilikuwa ni pombe! Ikibidi aweke hapa account no ya benki nifanye kutransfer akamwagilie moyo jioni hii. Uthibitisho wa ujumbe wa matumo ya pesa ntauweka hapa i.e screenshot
[emoji24][emoji24]Nimekosa mimi, Nimekosa mimi, Nimekosa sana...
Naye atatakiwa kuweka maneno kama hayo hapa ili story za kula mbususu ziendelee[emoji28]
[emoji15][emoji15]Umemfanya nini binti ya watu? [emoji1787][emoji1787]
Kesi yangu na financial services ilisuluhishwa na mod "x" humu. Sijui kama alini unblock au lah, lakini ilikuwa tifu sio poa [emoji16]
 
Kwahiyo tusio na bifu na MTU humu tujiite angels
 
Nitumie mwanya huu kumuomba Kelsea anitake radhi! Nimeipenda avatar aliyoweka jioni hii [emoji3059]

Mkuu mzabzab nisaidie kumuelewesha kelsea kuwa maneno yote niliyompasulia zilikuwa ni pombe! Ikibidi aweke hapa account no ya benki nifanye kutransfer akamwagilie moyo jioni hii. Uthibitisho wa ujumbe wa matumo ya pesa ntauweka hapa i.e screenshot
[emoji24][emoji24]Nimekosa mimi, Nimekosa mimi, Nimekosa sana...
Naye atatakiwa kuweka maneno kama hayo hapa ili story za kula mbususu ziendelee[emoji28]
🤣 Nitumie kwa M-Pesa
 
Pesa ni kila kitu [emoji23]
Kuna kipindi niko first year pale Mabibo Hostel, nikanunua mihogo ya buku nikaweka kwenye kimfuko nikachili pale uwanjani, ghafla mpenzi wangu anaenipenda kwa dhati ndipo kufika, nayeye alikuwa first year mwenzangu! Tukaanza kulishana mihogo[emoji28]

Ghafla bin vuu, taxi x ikatinga karibu na sisi na kupiga honi! Mtoto akaniacha pale nilipokuwa na mihogo yangu akaingia ndanj ya gari la sponsor wakaondoka. Tokea hapo nikaamini mchawi pesa

Akawa ananipigia simu, mwenzie sipokei!.Nakumbuka siku moja kaja kukaa karibu na mimi mle Theater One kwenye lecture, akanipitishia kibunda cha Tsh 300k na kuniwekea kwenye kibegi uchwara nilichokuwa nacho! Nilitamani kumpiga denda pale pale[emoji28]
 
[emoji1787] Nitumie kwa M-Pesa
photo-1563673244345-bc2fcd20f88e%20(1).jpg

Tuma namba zako PM, mutoto muzuri, tufanye mafyekeche [emoji41]
 
witnessj njoo tuyamalize mtu wang nilipishana kauli leo mchana japo sijakujibu kama ulivyonijibu wewe ila tusemehane bure
 
Mimi na Mzee wa kupambania tunapenda sana mbususu, hivyo hatuwezi kumkosea mwanamke yeyote hata kama idadi yao imekuwa kubwa kuliko sisi

Tunampenda sana Beesmom To yeye Kelsea na wengine wengi[emoji39][emoji39]
Sisi hatuna baya na hawa warembo wetu maana wanatupatia utelezi 😋😋😋

Akizungumzia suala la idadi ya wanawake kuwa wengi kuliko wanaume mama Samia aliwaambia wanawake wazichukulie changamoto kama fursa. Sijui alimaanisha nini bimkubwa Samia? 🤔
 
Back
Top Bottom