Unahitaji kitu/bidhaa gani new au used kwa bei rahisi nikuletee?

Unahitaji kitu/bidhaa gani new au used kwa bei rahisi nikuletee?

Wakuu habari za wakati huu. I hope mmeamka salama wote.

Guys, kama unatafta kitu (chochote tu) kwa bei nzuri (used) ambacho kiko katika ubora mkubwa bado, cas naelewa mtu anahitaj kitu, maybe leather sofa,or fridge , or tv, Ac, printer au chochote kile, but bei ya mpya dukani iko juu sana haiwezi kwa muda huo, bado option nyingine ipo.

Niambie (hapa au dm) unahitaji nini, na budget yako ni kiasi gani, na unakihitaji haraka sana au within how many days, then niachie mimi hiyo kazi, just tulia relax , nakuletea, maongezi mengine tutazungumza dm

hata kipya naweza kukupatia if uko ok
Nataka RTG. Rubbered Tyred Gantre utaniuzia Kwa kiasi gani?
 

Attachments

  • 超级截屏_20240620_202607.png
    超级截屏_20240620_202607.png
    614.1 KB · Views: 4

Attachments

  • 超级截屏_20240620_223640.png
    超级截屏_20240620_223640.png
    796.9 KB · Views: 4
  • 超级截屏_20240620_223652.png
    超级截屏_20240620_223652.png
    1.1 MB · Views: 4
Wakuu habari za wakati huu. I hope mmeamka salama wote.

Guys, kama unatafta kitu (chochote tu) kwa bei nzuri (used) ambacho kiko katika ubora mkubwa bado, cas naelewa mtu anahitaj kitu, maybe leather sofa,or fridge , or tv, Ac, printer au chochote kile, but bei ya mpya dukani iko juu sana haiwezi kwa muda huo, bado option nyingine ipo.

Niambie (hapa au dm) unahitaji nini, na budget yako ni kiasi gani, na unakihitaji haraka sana au within how many days, then niachie mimi hiyo kazi, just tulia relax , nakuletea, maongezi mengine tutazungumza dm

hata kipya naweza kukupatia if uko ok
Mkuu majeneza used unayo?
 
Back
Top Bottom