Tunaomba nida ya marketier na location yako na post address na street number ili.mambo yakienda kombo tupige simu.Karibu tena Jf mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tunaomba nida ya marketier na location yako na post address na street number ili.mambo yakienda kombo tupige simu.Karibu tena Jf mkuu
hii bado ipo?External 500gb
Mpya kabisa
100% Health
USB 3.00
POCKET PACKAGE (KIFUKO CHA KUTUNZIA)
unaweza kutumia kwenye TV,LAPTOP,PS
Una wekewa MOVIE NYINGI SANA
Bei Elf 60 fixed
0697224996
View attachment 3018154
yes ipo mkuu, karibuhii bado ipo?
haijaliwa na Virus mkuu?yes ipo mkuu, karibu
okMimi Nataka office chair na meza. Nijuze ntapata Kwa bei gani.
nop, iko ok kabisa mkuuhaijaliwa na Virus mkuu?
Tar 23 kama itakuwepo ntakuona, bei inapoa? na unazo ngapi?nop, iko ok kabisa mkuu
boss hauna external hard disc mpya inayosoma kwenye TV nikichomeka moja kwa moja? ukubwa 1Tb itapendeza.nop, iko ok kabisa mkuu
Nataka RTG. Rubbered Tyred Gantre utaniuzia Kwa kiasi gani?Wakuu habari za wakati huu. I hope mmeamka salama wote.
Guys, kama unatafta kitu (chochote tu) kwa bei nzuri (used) ambacho kiko katika ubora mkubwa bado, cas naelewa mtu anahitaj kitu, maybe leather sofa,or fridge , or tv, Ac, printer au chochote kile, but bei ya mpya dukani iko juu sana haiwezi kwa muda huo, bado option nyingine ipo.
Niambie (hapa au dm) unahitaji nini, na budget yako ni kiasi gani, na unakihitaji haraka sana au within how many days, then niachie mimi hiyo kazi, just tulia relax , nakuletea, maongezi mengine tutazungumza dm
hata kipya naweza kukupatia if uko ok
ipo mkuuboss hauna external hard disc mpya inayosoma kwenye TV nikichomeka moja kwa moja? ukubwa 1Tb itapendeza.
aina gani? bei gani?ipo mkuu
hiyo sina mkuu, tafuta kampuni za hizo vitu , i think utapata kirahisiNataka RTG. Rubbered Tyred Gantre utaniuzia Kwa kiasi gani?
hii ni brand New au used?65k tu mkuu
500gb
usb na ina pocket package
hii ni new boss, zipo 2 zote mpya, angalia na hii ingine👇 imetumika 2 weeks tu, ni 50k yentewehii ni brand New au used?
Mkuu majeneza used unayo?Wakuu habari za wakati huu. I hope mmeamka salama wote.
Guys, kama unatafta kitu (chochote tu) kwa bei nzuri (used) ambacho kiko katika ubora mkubwa bado, cas naelewa mtu anahitaj kitu, maybe leather sofa,or fridge , or tv, Ac, printer au chochote kile, but bei ya mpya dukani iko juu sana haiwezi kwa muda huo, bado option nyingine ipo.
Niambie (hapa au dm) unahitaji nini, na budget yako ni kiasi gani, na unakihitaji haraka sana au within how many days, then niachie mimi hiyo kazi, just tulia relax , nakuletea, maongezi mengine tutazungumza dm
hata kipya naweza kukupatia if uko ok
guys stop these nonsense please😠, if huitaji kitu na si upite tu?Mkuu majeneza used unayo?
hiyo used ina ukubwa gani?hii ni new boss, zipo 2 zote mpya, angalia na hii ingine👇 imetumika 2 weeks tu, ni 50k yentewe
gmorning mkuu, ni 300 gb mkuuhiyo used ina ukubwa gani?