Unahitaji kuwa kilaza wa kiwango cha SGR kuamini kuwa Hayati Magufuli alipanga kuwa rais wa milele

Unahitaji kuwa kilaza wa kiwango cha SGR kuamini kuwa Hayati Magufuli alipanga kuwa rais wa milele

Kulwa Jilala

JF-Expert Member
Joined
Sep 6, 2022
Posts
3,891
Reaction score
8,448
Kuna hii propaganda ya kijinga sana imekuwa ikirudiwa rudiwa mara kwa mara na viongozi wa Chadema akina Mbowe, Lisu na Godbless kuwa rais wa 5 wa nchi yetu hayati Magufuli eti alikuwa anajiandaa na kuweka mazingira sawa ili aweze kung'ang'ania madaraka na kuwa rais wa milele!.

Uzuri wa propanga hii imepuuzwa na wananchi kwa sababu inahitajika uwe kilaza mno pengine kupita kiwango cha treni ya kisasa ya umeme SGR.

Inajulikana wazi Magufuli alikuwa muumini wa kufuata sheria na kutii mamlaka hivyo asingeweza kabisa kufikiria kufanya hii propanda ya kipuuzi inauoenezwa na makanjanja ya Chadema yaliyoishiwa sera.
 
Wote waliosimami ile agenda hawako kwenye hali zao za zamani:-
Magufuli- Kifo
Ndugai- Siyo Spika tena
Kessy- Siyo mbunge tena
Nkamia - Siyo mbunge tena.

Ukikufuru Mungu hakopeshi, adhabu mara moja
 
Kuna hii propaganda ya kijinga sana imekuwa ikirudiwa rudiwa mara kwa mara na viongozi wa Chadema akina Mbowe, Lisu na Godbless kuwa rais wa 5 wa nchi yetu hayati Magufuli eti alikuwa anajiandaa na kuweka mazingira sawa ili aweze kung'ang'ania madaraka na kuwa rais wa milele!.

Uzuri wa propanga hii imepuuzwa na wananchi kwa sababu inahitajika uwe kilaza mno pengine kupita kiwango cha treni ya kisasa ya umeme SGR.

Inajulikana wazi Magufuli alikuwa muumini wa kufuata sheria na kutii mamlaka hivyo asingeweza kabisa kufikiria kufanya hii propanda ya kipuuzi inauoenezwa na makanjanja ya Chadema yaliyoishiwa sera.
Unahangaisha marehemu kwa nini sasa? Hebu tuwe na heshima kwa Marehemu tuwaache wapumzike!
 
Wote waliosimami ile agenda hawako kwenye hali zao za zamani:-
Magufuli- Kifo
Ndugai- Siyo Spika tena
Kessy- Siyo mbunge tena
Nkamia - Siyo mbunge tena.

Ukikufuru Mungu hakopeshi, adhabu mara moja
Membe nae alishiriki?
 
Ukikufuru Mungu hakopeshi, adhabu mara moja
20231112_185139.jpg
 
Kuna hii propaganda ya kijinga sana imekuwa ikirudiwa rudiwa mara kwa mara na viongozi wa Chadema akina Mbowe, Lisu na Godbless kuwa rais wa 5 wa nchi yetu hayati Magufuli eti alikuwa anajiandaa na kuweka mazingira sawa ili aweze kung'ang'ania madaraka na kuwa rais wa milele!.

Uzuri wa propanga hii imepuuzwa na wananchi kwa sababu inahitajika uwe kilaza mno pengine kupita kiwango cha treni ya kisasa ya umeme SGR.

Inajulikana wazi Magufuli alikuwa muumini wa kufuata sheria na kutii mamlaka hivyo asingeweza kabisa kufikiria kufanya hii propanda ya kipuuzi inauoenezwa na makanjanja ya Chadema yaliyoishiwa sera.
Kaaah

muacheni apumzike
 
Mkuu hayo yalishapita na zama za JPM, usiendelee kufukua makaburi.
Watu walilazimika kusema hayo kwa sababu ya JPM kutawala nchi kibabe!
Otherwise kwa kauli zake hakuwa tayari kuongeza muhula wa Tatu.
 
Kuna hii propaganda ya kijinga sana imekuwa ikirudiwa rudiwa mara kwa mara na viongozi wa Chadema akina Mbowe, Lisu na Godbless kuwa rais wa 5 wa nchi yetu hayati Magufuli eti alikuwa anajiandaa na kuweka mazingira sawa ili aweze kung'ang'ania madaraka na kuwa rais wa milele!.

Uzuri wa propanga hii imepuuzwa na wananchi kwa sababu inahitajika uwe kilaza mno pengine kupita kiwango cha treni ya kisasa ya umeme SGR.

Inajulikana wazi Magufuli alikuwa muumini wa kufuata sheria na kutii mamlaka hivyo asingeweza kabisa kufikiria kufanya hii propanda ya kipuuzi inauoenezwa na makanjanja ya Chadema yaliyoishiwa sera.
We hawa.ra wa mwendazake hujui mwisho wa eda? Nini kinakushinda kuendelea na maisha yako mapya? Kila siku kutuchosha na thread ya watu ambao their roles are over in this world. Legacy ishakufaga kifo cha mende au unataka kuona nini ili ukubali ya kwamba hakuna cha legacy wala nini?!,😡😡😡
 
Back
Top Bottom