View attachment 100744powa umepata plz reply ur phone non
Why not!! Mara and Ukerewe!!!usidhani hatumo!! Tumo wengi tunakuangalia tu!! Hutaki wajita!wewe! Aiii
Nina miaka 24 natafuta mwanaume mwema wa kunioa in the next one or two years.
Mimi ni mwanafunzi wa chuo kikuu hapa tz mwaka wa pili nasomea degree ya ualimu.
Ni dada mtulivu nisie na makuu mrefu kidogo mnene kwa mbali.
Natafuta mwanaume mkristo asiwe msabato au roman. Then asiwe mwenyeji wa mikoa ya Mara au Ukerewe.
I love sukuma, haya chagga or nyiramba men.
Pia awe mrefu elimu yake isiwe chini ya shahada.
Duh. Unatafuta mchumba with target ya 2 yrs ndoa.
Ukiishi hivyo aisee utajikuta unakuwa very desperate maishani mwako. Hebu soma utafute kazi bwana, wanaume watajipanga kutaka kukuoa.
Nina miaka 24 natafuta mwanaume mwema wa kunioa in the next one or two years.
Mimi ni mwanafunzi wa chuo kikuu hapa tz mwaka wa pili nasomea degree ya ualimu.
Ni dada mtulivu nisie na makuu mrefu kidogo mnene kwa mbali.
Natafuta mwanaume mkristo asiwe msabato au roman. Then asiwe mwenyeji wa mikoa ya Mara au Ukerewe.
I love sukuma, haya chagga or nyiramba men.
Pia awe mrefu elimu yake isiwe chini ya shahada.
Ni Lubango wa Baobab?Nina miaka 24 natafuta mwanaume mwema wa kunioa in the next one or two years.
Mimi ni mwanafunzi wa chuo kikuu hapa tz mwaka wa pili nasomea degree ya ualimu.
Ni dada mtulivu nisie na makuu mrefu kidogo mnene kwa mbali.
Natafuta mwanaume mkristo asiwe msabato au roman. Then asiwe mwenyeji wa mikoa ya Mara au Ukerewe.
I love sukuma, haya chagga or nyiramba men.
Pia awe mrefu elimu yake isiwe chini ya shahada.