Unahitaji mtaalamu wa mifugo?

Unahitaji mtaalamu wa mifugo?

crista galli

Member
Joined
Oct 7, 2013
Posts
13
Reaction score
11
Kama unahitaji ushauri,matibabu,chanjo,kuhasi mbwa,ngo'mbe,mbuzi,nguruwe na kondoo,kutoa kizazi kwa mbwa na paka yaani kwa ujumla mambo yote yanayohusu mifugo kwa wale wa DSM tuwasiliane kwa 0784339181.
 
Kama unahitaji ushauri,matibabu,chanjo,kuhasi mbwa,ngo'mbe,mbuzi,nguruwe na kondoo,kutoa kizazi kwa mbwa na paka yaani kwa ujumla mambo yote yanayohusu mifugo kwa wale wa DSM tuwasiliane kwa 0784339181.

Mkuu anza na mimi; nina paka wawili ila mmoja ni mdhaifu sana! Nahisi anaminyoo; nipe aina gani ya vidonge?


NTU
 
Back
Top Bottom