Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 70,785
- 186,690
Una hakika hizo ni Taa tu? 𤣠Au utatuuzia na gearbox yake kabisa kwa hio bei.Ya upande upi?
Zote mbili utafanyiwa 2,160,000/=
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Una hakika hizo ni Taa tu? 𤣠Au utatuuzia na gearbox yake kabisa kwa hio bei.Ya upande upi?
Zote mbili utafanyiwa 2,160,000/=
Vp kaka utilization? Na ulipata kwa bei gnExhaust manifold ya nissan dualis 2008 napata kwa bei gani?
Ni spare kwa magari ganiSalaam ndugu zangu, kwanza napenda kuwashukuru kwa kuunga mkono uzi wetu pendwa wa, "Wapenzi wa magari mazuri ā. Ahadi yangu kwenu ni kuendeleza mazuri.
Ili magari yetu yaendelee kuwa mazuri tutahitaji spare,unaonaje ukinipa oda yako kisha nikutumie spare huko huko mkoani na utalipia mzigo wako ukishapokea kwa wakala wetu ?
Spare yoyote ile kwetu inapatikana iwe body part kama bampa, taa n.k au hata engine , gearbox na spare nyenginezo.
Unaweza kuniPm oda yako au nitumie ujumbe kwa WhatsApp au text ya kawaida .
Namba yangu ya simu ni 0658124554View attachment 1072803View attachment 1072804View attachment 1072805View attachment 1072807
Sent using Jamii Forums mobile app