Unahitaji vitu VIWILI tu kutambua kuwa Hayati Magufuli na Mwalimu Nyerere ndio walikuwa marais bora kuwahi kutokea katika nchi yetu

Unahitaji vitu VIWILI tu kutambua kuwa Hayati Magufuli na Mwalimu Nyerere ndio walikuwa marais bora kuwahi kutokea katika nchi yetu

RNA

JF-Expert Member
Joined
Mar 27, 2013
Posts
1,647
Reaction score
2,803
Habari jf ,

1.Una hitaji uwe na akili kubwa sana -High IQ kama mfano wa Tundu lissu kutambua JPM alikuwa kiongozi bora na aliyeipenda Tanzania kutoka moyoni .

Akili kubwa siku zote huielewa akili kubwa ,Mbali na kwamba TL katika nyakati tofauti aliwaza inawezekana JPM na Serikali yake walihusika katika shambulio lake bado anamtambua kama mtu aliyeipenda Tanzania Kuliko marais wote.



2. Unahitaji uwe mzalendo kweli kweli ili uwezo elewa Hayati Baba wa Taifa alikuwa kiongozi Bora .

Mzalendo siku zote humtambua mzalendo mwenzake .

Binafsi sijawahi kutana na mtu mwenye high IQ akabeza maamuzi ya JPM au Nyerere ,wanaobeza JK Nyerere ndio wale wasio elewa why Putin anapiga Ukraine .

Aliyoyafanya JPM kuhusu mikataba iliyokuwepo mibovu ni kitu ambacho Rais yeyote mzalendo atafanya ,ni bora ukapoteza 200B kuliko kupoteza trillions of money .​
 
Habari jf ,
1.Una hitaji uwe na akili kubwa sana -High IQ kama mfano wa Tundu lissu kutambua JPM alikuwa kiongozi bora na aliyeipenda Tanzania kutoka moyoni .

Akili kubwa siku zote huielewa akili kubwa ,Mbali na kwamba TL katika nyakati tofauti aliwaza inawezekana JPM na Serikali yake walihusika katika shambulio lake bado anamtambua kama mtu aliyeipenda Tanzania Kuliko marais wote .
View attachment 2692163

2.Una hitaji uwe mzalendo kweli kweli ili uwezo elewa Hayati Baba wa Taifa alikuwa kiongozi Bora .

Mzalendo siku zote humtambua mzalendo mwenzake .

Binafsi sijawahi kutana na mtu mwenye high IQ akabeza maamuzi ya JPM au Nyerere ,wanaobeza JK Nyerere ndio wale wasio elewa why Putin anapiga Ukraine .

Aliyoyafanya JPM kuhusu mikataba iliyokuwepo mibovu ni kitu ambacho Rais yeyote mzalendo atafanya ,ni bora ukapoteza 200B kuliko kupoteza trillions of money .​
Huo ujinga wa kuitwa Wazalendo ndio umesababisha hii Nchi kuwa Maskini na walioleta huo umaskini ni Hawa unaowapigia debe.
 
Akili kubwa Kwa sababu Tundu lissu mwenyewe ni watu aina ya Magufuli, hata Lissu anaamini ana akili sana
 
Habari jf ,
1.Una hitaji uwe na akili kubwa sana -High IQ kama mfano wa Tundu lissu kutambua JPM alikuwa kiongozi bora na aliyeipenda Tanzania kutoka moyoni .

Akili kubwa siku zote huielewa akili kubwa ,Mbali na kwamba TL katika nyakati tofauti aliwaza inawezekana JPM na Serikali yake walihusika katika shambulio lake bado anamtambua kama mtu aliyeipenda Tanzania Kuliko marais wote .
View attachment 2692163

2.Una hitaji uwe mzalendo kweli kweli ili uwezo elewa Hayati Baba wa Taifa alikuwa kiongozi Bora .

Mzalendo siku zote humtambua mzalendo mwenzake .

Binafsi sijawahi kutana na mtu mwenye high IQ akabeza maamuzi ya JPM au Nyerere ,wanaobeza JK Nyerere ndio wale wasio elewa why Putin anapiga Ukraine .

Aliyoyafanya JPM kuhusu mikataba iliyokuwepo mibovu ni kitu ambacho Rais yeyote mzalendo atafanya ,ni bora ukapoteza 200B kuliko kupoteza trillions of money .​
Acha kumchanganya Nyerere na hilo dubwasha lako.
 
Habari jf ,
1.Una hitaji uwe na akili kubwa sana -High IQ kama mfano wa Tundu lissu kutambua JPM alikuwa kiongozi bora na aliyeipenda Tanzania kutoka moyoni .

Akili kubwa siku zote huielewa akili kubwa ,Mbali na kwamba TL katika nyakati tofauti aliwaza inawezekana JPM na Serikali yake walihusika katika shambulio lake bado anamtambua kama mtu aliyeipenda Tanzania Kuliko marais wote .
View attachment 2692163

2.Una hitaji uwe mzalendo kweli kweli ili uwezo elewa Hayati Baba wa Taifa alikuwa kiongozi Bora .

Mzalendo siku zote humtambua mzalendo mwenzake .

Binafsi sijawahi kutana na mtu mwenye high IQ akabeza maamuzi ya JPM au Nyerere ,wanaobeza JK Nyerere ndio wale wasio elewa why Putin anapiga Ukraine .

Aliyoyafanya JPM kuhusu mikataba iliyokuwepo mibovu ni kitu ambacho Rais yeyote mzalendo atafanya ,ni bora ukapoteza 200B kuliko kupoteza trillions of money .​
I do not legitimize statement of faith with any meaningful retort, for, a meaningful retort is impossible where a statement of faith is concerned.

You did not present a factual case, therefore, I cannot retort to you at length on the facts.
You are just not worth that respect.

The exchange will be disjointed.

I will say this though.

Magufuli was a country bumpkin.
 
Kimtendea Mwalimu Haki, jitahidi kumtomhusisha na watu wa ajabu ajabu.
 
Habari jf ,
1.Una hitaji uwe na akili kubwa sana -High IQ kama mfano wa Tundu lissu kutambua JPM alikuwa kiongozi bora na aliyeipenda Tanzania kutoka moyoni .

Akili kubwa siku zote huielewa akili kubwa ,Mbali na kwamba TL katika nyakati tofauti aliwaza inawezekana JPM na Serikali yake walihusika katika shambulio lake bado anamtambua kama mtu aliyeipenda Tanzania Kuliko marais wote .
View attachment 2692163

2.Una hitaji uwe mzalendo kweli kweli ili uwezo elewa Hayati Baba wa Taifa alikuwa kiongozi Bora .

Mzalendo siku zote humtambua mzalendo mwenzake .

Binafsi sijawahi kutana na mtu mwenye high IQ akabeza maamuzi ya JPM au Nyerere ,wanaobeza JK Nyerere ndio wale wasio elewa why Putin anapiga Ukraine .

Aliyoyafanya JPM kuhusu mikataba iliyokuwepo mibovu ni kitu ambacho Rais yeyote mzalendo atafanya ,ni bora ukapoteza 200B kuliko kupoteza trillions of money .​
Ni wajinga tu wasiokuwa wanamuelewa Magufuli na hapa utawaona.
 
Back
Top Bottom