Unaibiwa?? chukua dawa

Unaibiwa?? chukua dawa

I think its better if you confirm what you are suspecting before making any decision to quit

Lazima mtu ujiridhishe bwana hakuna kuoneana wala kubaki kuhisi! Nikikuta huko clean ndio vizuri. Cha muhimu mkae mkijua unapo spy hupaswi kugunduliwa na unayemspy. Unaweka mambo hadharani tu pale unapopata confirmation kuwa jamaa ni cheater. Kama huna evidence inabaki kuwa siri yako kwani najua hata watu waliotulia hawapendi kupelelezwa.
 
Be smart. Fanya bihashara online tu. Kwa ajili ya usalama wako. Ukishajenga uhaminifu watu wanakulipa tu online. Na unajua mtu hawezi kuwa na nguvu za kukufuata eti umemwaribia wakati amejiharibia mwenyewe na tabia yake. Nguvu hiyo na ujasiri hamna aisee.


kweli kabisa,hii ilikua kwa ajili ya majaribio!
me nilianza kutest kwa rafiki yangu mmoja hivi,...duh ni balaa

then nikawapa watu kama watatu wajaribu pia,wawili walinilaumu tena kwa kuwapa
maana waliumia kila mmoja kwa namna yake!
mmoja yeye hajawahi mnasa girlfriend wake (hajawa na kidumu bado)

Hii ni biashara mkuu,sema kitabu tu ndo kinabana otherwise ninge fungua office!
Hehe,ila ni hatari pia kwa wale watakao achika,unaweza uliwa
 
Eeeh bwana! hii itakuwa pouwa sana. Huwezi kutuwekea hapa mkuu?
 
Kama hauna imani na mwenzi wako,..
hauamini kama kila simu anayo pokea sio ya vimada au vidumu,...

unaweza kuondoa hofu hiyo,kwa kumfuatilia kisiri siri katika mawasiliano
yake yote!
Akipigiwa simu,na wewe utasikia maneno yote (kwenye simu yako)!
Kila sms atakayo pokea utaipata pia (kwenye simu yako)!

Nitafute,nipe namba yako ya simu,nikupe ujanja huo!

Note:
1.Rafiki yangu ali m-track girlfriend wake,msichana alipo gundua anafutiliwa katika mawasiliano waliachana!
2.kuna msichana alim-track boyfriend wake,alipo pata alichotaka alifeli mitihini yake kwa mawazo!

Warning:
Nita kusaidia ila "AT YOUR OWN RISK",...:israel:



Kazi itakua nzito mno, natuma maombi kua assistant....
 
Wewe kama una dawa usiendelee kututisha. We are ready for the risk after all wengine hii si first time ku spy. We know the consequences verry well and we are well prepared for that.


We mdada hua unatafuta pressure za nini???
 
Hapa bongo hata ukianzisha kampuni manual, siyo digital ya kufuatilia mienendo ya watu kwa kweli utakuwa tajiri. Utapata wateja wengi sana hasa wanawake! Yaani nakupa ela wewe kazi yako kufuatilia baba nanii anaendaga wapi akitoka kazini au week end. Alafu unanipa mchoro mzima naenda kufumania. Aaah Wajasiria mali mpo!


Nimeomba kwa speaker kua assistant wake, i can smell wealth from this....
 
hapa bongo hata ukianzisha kampuni manual, siyo digital ya kufuatilia mienendo ya watu kwa kweli utakuwa tajiri. Utapata wateja wengi sana hasa wanawake! Yaani nakupa ela wewe kazi yako kufuatilia baba nanii anaendaga wapi akitoka kazini au week end. Alafu unanipa mchoro mzima naenda kufumania. Aaah wajasiria mali mpo!

hata wanaume wanafuatilia,mi kuna mtu nilikua nachat nae tu kawaida japo nilikua sijawah kumwona, cku moja akani invite lunch ili tufahamiane,sikwenda. Mr akaiona ile sms alichofanya alimfatilia yule jamaa mpaka akajua anaishi na kufanya kazi wapi. Baadae akajua kua ni kweli niliyomwambia. So nadhani wangu nae angeinunua. Mi ctaki presha kabisa.
 
Mmh! Ukisikia kufa kabla ya siku zako ndio huku.
Si kuhizi vidumu na vibeseni vinachati kwa mtandao.
Busy na laptop utafikiri anafanya kazi za ofisi kumbe...!!
 
Sasa mtambo ndio unakuja huo unatrace kuanzia laptop, phone mpaka human being! Cheater sijuhi watafute njia gani mbadala
Mmh! Ukisikia kufa kabla ya siku zako ndio huku.

Si kuhizi vidumu na vibeseni vinachati kwa mtandao.
Busy na laptop utafikiri anafanya kazi za ofisi kumbe...!!
 
na wewe unajisikia raha kuvunja mahusiano ya watu? na zile msg zinazokosea njia ,angalia usije ukahukumiwa kwa kubeba dhambi hiyo.
 
Kama hauna imani na mwenzi wako,..
hauamini kama kila simu anayo pokea sio ya vimada au vidumu,...

unaweza kuondoa hofu hiyo,kwa kumfuatilia kisiri siri katika mawasiliano
yake yote!
Akipigiwa simu,na wewe utasikia maneno yote (kwenye simu yako)!
Kila sms atakayo pokea utaipata pia (kwenye simu yako)!

Nitafute,nipe namba yako ya simu,nikupe ujanja huo!

Note:
1.Rafiki yangu ali m-track girlfriend wake,msichana alipo gundua anafutiliwa katika mawasiliano waliachana!
2.kuna msichana alim-track boyfriend wake,alipo pata alichotaka alifeli mitihini yake kwa mawazo!

Warning:
Nita kusaidia ila "AT YOUR OWN RISK",...:israel:

Hallow mimi naomba uniuzie hiyo mbinu ninashida nayo sana niitumie tafadhali.
 
Ya kukosea njia itajulikana tu husitie shaka. Kazi inafanywa kwa umakini mkubwa. Sms ni kianzio. Physical tracing is all that the client needs.

na wewe unajisikia raha kuvunja mahusiano ya watu? na zile msg zinazokosea njia ,angalia usije ukahukumiwa kwa kubeba dhambi hiyo.
 
Back
Top Bottom