Mshuza2
JF-Expert Member
- Dec 27, 2010
- 11,261
- 17,202
Usije kuyavamia ,yasije yakakutesa hawachelewagi kukimbia,kuna wenzako wanalia.
Walizani mapenzi pesa kwenye suruali vibamia.,Hata ukimuhonga Ferrari hatokuona rijali,wakati chumbani we beki ukifunga moja tu chali.
Atakamatwa na mangangari vijana machachari,hawachagui sehemu ya vita uvunguni na juu ya dari.
...Hiyo ni sehemu tu ya wimbo Huo.
NB:Sina timu.
Walizani mapenzi pesa kwenye suruali vibamia.,Hata ukimuhonga Ferrari hatokuona rijali,wakati chumbani we beki ukifunga moja tu chali.
Atakamatwa na mangangari vijana machachari,hawachagui sehemu ya vita uvunguni na juu ya dari.
...Hiyo ni sehemu tu ya wimbo Huo.
NB:Sina timu.