Unaidhinisha zaidi ya Bilioni 30 kukarabati uwanja alafu haufuatilii unaendelea na shughuli zako.Huyo ndiye Mgombea anayeomba kurudi ikulu

Unaidhinisha zaidi ya Bilioni 30 kukarabati uwanja alafu haufuatilii unaendelea na shughuli zako.Huyo ndiye Mgombea anayeomba kurudi ikulu

Abraham Lincolnn

JF-Expert Member
Joined
Apr 12, 2018
Posts
2,754
Reaction score
4,975
Watanzania wanakabwa kulipa kodi kila sehemu kodi, Ukigeuka kushoto kodi, Kulia kodi mpaka vichwa vinawauma!

Wamam wajane, masikini waliofutiwa bima ya afya kwa watoto wao, Walionyimwa madawati na elimu bora kwa watoto wao. Wakulima wanaotozwa kodi na ushuru wa kila aina wanaposafirisha na kuuza mazao yao.

Pesa hiyo inapatikana, Kiongozi anaidhinisha itumike kukarabati Uwanja wa taifa, Kisha anakwea ndege huyoooo anaenda kula bata na kuzunguka UK.

Swali fikirishi; Ingekuwa fedha hizo umetafuta kwa jasho lako na umeamua kujenga nyumba yako, Ungewalipa mafundi na kuondoka zako! Jibu ni HAPANA. Lazima ungesimamia ujenzi mwanzo mwisho na kujibana kuhakikisha hakuna senti inapotea! Ila kwakuwa ni kazi ya umma wa watanzania, Hakuna anayejali.

MUNGU IBARIKI AFRIKA
 
Ukiona kila mwanasiasa ana timu na anasajili wachezaji wakubwa kuliko hata Bilionea namba 1 Tanzania,ujue uwanja wetu hauwezi kuwa bora kama Amahoro au hata New Aman Complex

Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
 
Very detailed information you provide but I have been asking myself lately why in this so called jamii forum , very detailed and constructive information like these doesn't get a lot of traffic? Is there somehow they do it purposely there in their offices? Like they press a button or something ...but stupid and destructive moral decay behavior threads they get a lot of traffic sometimes I watch up to see that sometimes up to 35,000 people engage in those stupid threads.
 
Maeneo yaliyopangwa yakarabatiwe ni pamoja na.
1. vyumba vya wachezaji,
2. chumba cha waandishi wa
Habari,
3.Eneo la watu mashuhuri (VVIP), 4. kubadilisha viti vyote vya kukalia mashabiki uwanjani hapo,
5. ubao wa kuonesha matokeo,
6. kuweka mfumo mpya wa TEHAMA,
7. kubadilisha eneo la kuchezea na seti mbili za magoli ambazo zitatumika uwanjani hapo.

Maeneo mengine ambayo yatafanyiwa ukarabati ni viti vya benchi la ufundi na wachezaji wa akiba,
8. mfumo wa umeme,
9. mfumo wa sauti,
10. Eneo la kukimbilia wanariadha,
11. chumba cha VAR,
12. lifti mbili mpya,
13. mfumo wa taa,
14. mfumo wa maji taka,
15. mgahawa pamoja na vitu vingine ambavyo vimepita muda wa matumizi kwani vilitakiwa kutumika kwa muda wa miaka saba tu

HADI SASA HAKUNA KILICHOFANYIKA
 
Back
Top Bottom