Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Estimated USD 150-200 Million for ARVs only.kiongozi umeshajua ni mpunga kiasi gani uo?
Huna pesa kaka, pesa ndo dhambi yenyeweIla watu wakiokoka(wakitubu dhambi ya uzinzi na kumwamini Yesu), maambukizi ya UKIMWI yatapungua kwa 99%
Kile kikopo gharama yake ni USD 500 sawa na zaidi ya TZS 1,000,000 na kinatumika kwa mwezi mmoja.Hivi TZGOV ikiamua itashindwa kweli kutenga fungu kwa ajili ya hizo dawa !!?? Mambo mengine I feel yako ndani ya uwezo wetu !!
EU na USA Wakisitisha misaada moja kwa moja ya Arv sidhani kama Africa itaweza kuhudumia watu wake, UKIMWI ule utishao kama upo sasa utaonekana kwa macho matumizi ya condom yatazidi, watu wataiogopa ngono.Kivipi mkuu?
Hamna lolote wao na madawa yao ndio wanaufanya uzidi kuwepo kwa kasi.Wakuu,
Hivi si tuliambiwa kuwa ARV ziko za kutosha?
Na kwamba tusihofu Marekani kusitisha misaada kwa sababu serikali ina ARV zinazotosha? Sasa inakuaje tunapewa onyo kuwa maambukizi ya UKIMWI yataongezeka?
Au ndo yaleyale tuliambiwa Rais yuko fit alafu baada ya siku kadhaa tukatangaziwa msiba wa taifa?
=========================================================
Mkuu wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Kukabiliana na Ukimwi (UNAIDS), Winnie Byanyima, ameonya kuwa idadi ya maambukizi mapya ya virusi vya UKIMWI (HIV) huenda ikaongezeka mara sita zaidi ifikapo mwaka 2029, endapo Marekani itasitisha ufadhili wake kwa mpango wa kukabiliana na ugonjwa huo.
Byanyima amesema kuwa kusitishwa kwa msaada huo kunaweza kusababisha vifo vya mamilioni ya watu, pamoja na uwezekano wa kuibuka kwa aina mpya na sugu ya virusi vya HIV.
Soma pia: Wizara ya Afya: ARV zipo za kutosha
Katika mahojiano na Shirika la Habari la AP, akiwa nchini Uganda, Byanyima amesema kuwa, licha ya kupungua kwa maambukizi katika miaka ya hivi karibuni, hatua yoyote ya kusitisha msaada wa kimataifa inaweza kurudisha nyuma mafanikio hayo.
Mwaka 2023, maambukizi mapya ya HIV yalirekodiwa kuwa milioni 1.3- punguzo la 60% tangu kiwango cha juu zaidi kiliporekodiwa mwaka 1995. Hata hivyo, Byanyima ameonya kuwa, endapo msaada wa Marekani utasitishwa, ifikapo 2029, dunia inaweza kushuhudia maambukizi mapya milioni 8.7, vifo vinavyohusiana na UKIMWI milioni 6.3, na watoto yatima milioni 3.4
Tishio hilo linatokana na tangazo la Rais wa Marekani Donald Trump, kwamba Marekani itasitisha misaada yote ya kigeni ndani ya siku 90. Hatua hii imeibua wasiwasi mkubwa, kwani Marekani ni mfadhili mkuu wa mipango ya afya duniani, ikiwemo PEPFAR- mpango wa dharura wa Rais wa Marekani wa kukabiliana na UKIMWI.
Iweke Ruzuku watumiaji wanunue kwa bei chee ilo linawezekana.Serikali yetu itenge hata 5% fedha itakayokusanywa katika mwaka wa fedha 2024/2025 kwaajili ya kuwasaidia watu walioathirika na UKIMWI.
Lini Sirikali ilisema Ukweli? Tuliambiwa Mwendokasi ya Mbagala itaanza Dec 2024 mpaka leo bado haujaanza.Hivi si tuliambiwa kuwa ARV ziko za kutosha?
Haifiki huko !!Mfano kikopo cha vidonge 30 za FDC (Tenofovir+Lamivudine+Dolutegravir) ni USD 7.00 - 10.00.Kile kikopo gharama yake ni USD 500 sawa na zaidi ya TZS 1,000,000 na kinatumika kwa mwezi mmoja.
Watumiaji wapo zaidi ya milioni 1.2.
Sidhani kama wanaweza kwa akili hizi hizi tunazozijua.
Haifiki huko !!Mfano kikopo cha vidonge 30 za FDC (Tenofovir+Lamivudine+Dolutegravir) ni USD 7.00 - 10.00.
Nlikuwa naangalia zaidi issue ya Ufadhili wa Nje vs Vyanzo vya ndani !!! Kwa mgonjwa ni kweli wengi hawatoweza hujinunulia !!Mkuuu usichukulie simple hiyo USD 10 kwa mwezi , kumbuka siku hizi Ukimwi walionao wengi ni Choka Mbaya! Kila mwezi imtoke elfu 25.
Nlikuwa naangalia zaidi issue ya Ufadhili wa Nje vs Vyanzo vya ndani !!! Kwa mgonjwa ni kweli wengi hawatoweza hujinunulia !!
Uko sahihi, nimesoma nimeona uko sawa.Haifiki huko !!Mfano kikopo cha vidonge 30 za FDC (Tenofovir+Lamivudine+Dolutegravir) ni USD 7.00 - 10.00.
Wakuu,
Hivi si tuliambiwa kuwa ARV ziko za kutosha?
Na kwamba tusihofu Marekani kusitisha misaada kwa sababu serikali ina ARV zinazotosha? Sasa inakuaje tunapewa onyo kuwa maambukizi ya UKIMWI yataongezeka?
Au ndo yaleyale tuliambiwa Rais yuko fit alafu baada ya siku kadhaa tukatangaziwa msiba wa taifa?
=========================================================
Mkuu wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Kukabiliana na Ukimwi (UNAIDS), Winnie Byanyima, ameonya kuwa idadi ya maambukizi mapya ya virusi vya UKIMWI (HIV) huenda ikaongezeka mara sita zaidi ifikapo mwaka 2029, endapo Marekani itasitisha ufadhili wake kwa mpango wa kukabiliana na ugonjwa huo.
Byanyima amesema kuwa kusitishwa kwa msaada huo kunaweza kusababisha vifo vya mamilioni ya watu, pamoja na uwezekano wa kuibuka kwa aina mpya na sugu ya virusi vya HIV.
Soma pia: Wizara ya Afya: ARV zipo za kutosha
Katika mahojiano na Shirika la Habari la AP, akiwa nchini Uganda, Byanyima amesema kuwa, licha ya kupungua kwa maambukizi katika miaka ya hivi karibuni, hatua yoyote ya kusitisha msaada wa kimataifa inaweza kurudisha nyuma mafanikio hayo.
Mwaka 2023, maambukizi mapya ya HIV yalirekodiwa kuwa milioni 1.3- punguzo la 60% tangu kiwango cha juu zaidi kiliporekodiwa mwaka 1995. Hata hivyo, Byanyima ameonya kuwa, endapo msaada wa Marekani utasitishwa, ifikapo 2029, dunia inaweza kushuhudia maambukizi mapya milioni 8.7, vifo vinavyohusiana na UKIMWI milioni 6.3, na watoto yatima milioni 3.4
Tishio hilo linatokana na tangazo la Rais wa Marekani Donald Trump, kwamba Marekani itasitisha misaada yote ya kigeni ndani ya siku 90. Hatua hii imeibua wasiwasi mkubwa, kwani Marekani ni mfadhili mkuu wa mipango ya afya duniani, ikiwemo PEPFAR- mpango wa dharura wa Rais wa Marekani wa kukabiliana na UKIMWI.
Kwa nini kulia lia na Hela za wamarekani ambao wanachapa kazi usiku na mchana!Wakuu,
Hivi si tuliambiwa kuwa ARV ziko za kutosha?
Na kwamba tusihofu Marekani kusitisha misaada kwa sababu serikali ina ARV zinazotosha? Sasa inakuaje tunapewa onyo kuwa maambukizi ya UKIMWI yataongezeka?
Au ndo yaleyale tuliambiwa Rais yuko fit alafu baada ya siku kadhaa tukatangaziwa msiba wa taifa?
=========================================================
Mkuu wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Kukabiliana na Ukimwi (UNAIDS), Winnie Byanyima, ameonya kuwa idadi ya maambukizi mapya ya virusi vya UKIMWI (HIV) huenda ikaongezeka mara sita zaidi ifikapo mwaka 2029, endapo Marekani itasitisha ufadhili wake kwa mpango wa kukabiliana na ugonjwa huo.
Byanyima amesema kuwa kusitishwa kwa msaada huo kunaweza kusababisha vifo vya mamilioni ya watu, pamoja na uwezekano wa kuibuka kwa aina mpya na sugu ya virusi vya HIV.
Soma pia: Wizara ya Afya: ARV zipo za kutosha
Katika mahojiano na Shirika la Habari la AP, akiwa nchini Uganda, Byanyima amesema kuwa, licha ya kupungua kwa maambukizi katika miaka ya hivi karibuni, hatua yoyote ya kusitisha msaada wa kimataifa inaweza kurudisha nyuma mafanikio hayo.
Mwaka 2023, maambukizi mapya ya HIV yalirekodiwa kuwa milioni 1.3- punguzo la 60% tangu kiwango cha juu zaidi kiliporekodiwa mwaka 1995. Hata hivyo, Byanyima ameonya kuwa, endapo msaada wa Marekani utasitishwa, ifikapo 2029, dunia inaweza kushuhudia maambukizi mapya milioni 8.7, vifo vinavyohusiana na UKIMWI milioni 6.3, na watoto yatima milioni 3.4
Tishio hilo linatokana na tangazo la Rais wa Marekani Donald Trump, kwamba Marekani itasitisha misaada yote ya kigeni ndani ya siku 90. Hatua hii imeibua wasiwasi mkubwa, kwani Marekani ni mfadhili mkuu wa mipango ya afya duniani, ikiwemo PEPFAR- mpango wa dharura wa Rais wa Marekani wa kukabiliana na UKIMWI.