UNAIDS: Maambukizi ya UKIMWI yanaweza kuongezeka mara 6 kufikia mwaka 2029

Hivi TZGOV ikiamua itashindwa kweli kutenga fungu kwa ajili ya hizo dawa !!?? Mambo mengine I feel yako ndani ya uwezo wetu !!
Kile kikopo gharama yake ni USD 500 sawa na zaidi ya TZS 1,000,000 na kinatumika kwa mwezi mmoja.
Watumiaji wapo zaidi ya milioni 1.2.
Sidhani kama wanaweza kwa akili hizi hizi tunazozijua.
 
Kivipi mkuu?
EU na USA Wakisitisha misaada moja kwa moja ya Arv sidhani kama Africa itaweza kuhudumia watu wake, UKIMWI ule utishao kama upo sasa utaonekana kwa macho matumizi ya condom yatazidi, watu wataiogopa ngono.
 
Hamna lolote wao na madawa yao ndio wanaufanya uzidi kuwepo kwa kasi.
Waondoe misaada yao hatuitaki
 
Hivi si tuliambiwa kuwa ARV ziko za kutosha?
Lini Sirikali ilisema Ukweli? Tuliambiwa Mwendokasi ya Mbagala itaanza Dec 2024 mpaka leo bado haujaanza.

Wakasema elimu bure kuanzia darasa la kwanza hadi form 6 lakini mwanafunzi akichaguliwa lazima uwe na mpunga si chini ya laki 3.

Hospital wazee ,watoto matibabiu ni bure lakini ukienda unadaiwa fedha.

Kwahiyo usiamini Sirikali hata kidogo.
 
Kile kikopo gharama yake ni USD 500 sawa na zaidi ya TZS 1,000,000 na kinatumika kwa mwezi mmoja.
Watumiaji wapo zaidi ya milioni 1.2.
Sidhani kama wanaweza kwa akili hizi hizi tunazozijua.
Haifiki huko !!Mfano kikopo cha vidonge 30 za FDC (Tenofovir+Lamivudine+Dolutegravir) ni USD 7.00 - 10.00.
 
Haifiki huko !!Mfano kikopo cha vidonge 30 za FDC (Tenofovir+Lamivudine+Dolutegravir) ni USD 7.00 - 10.00.

Mkuuu usichukulie simple hiyo USD 10 kwa mwezi , kumbuka siku hizi Ukimwi walionao wengi ni Choka Mbaya! Kila mwezi imtoke elfu 25.
 
Mkuuu usichukulie simple hiyo USD 10 kwa mwezi , kumbuka siku hizi Ukimwi walionao wengi ni Choka Mbaya! Kila mwezi imtoke elfu 25.
Nlikuwa naangalia zaidi issue ya Ufadhili wa Nje vs Vyanzo vya ndani !!! Kwa mgonjwa ni kweli wengi hawatoweza hujinunulia !!
 
Nlikuwa naangalia zaidi issue ya Ufadhili wa Nje vs Vyanzo vya ndani !!! Kwa mgonjwa ni kweli wengi hawatoweza hujinunulia !!

Sirikali haiwajali wananchi wake hata siku moja ,wao watatumia fedha za ndani kununua mavieite tu ,kujijengea majumba ya wastaafu na kulipana wenza wa viongozi ila kuweka ruzuku kwenye ARV sahahu.

Vijana waliochoka wanajilipua kununua "Mal.@.ya wa Buku buku , vijana wanajilupua kula mishngazi yenye fedha na kuambukizwa ,bodaboda wanajiokotea mizigo tu na kumalizana nao kavu kavu ,means wenye ngoma siku hizi ni chokambaya.....Ukimwi huu bila ARVs kutoboa hata mwaka ngumu labda uwe carrier.
 
Haifiki huko !!Mfano kikopo cha vidonge 30 za FDC (Tenofovir+Lamivudine+Dolutegravir) ni USD 7.00 - 10.00.
Uko sahihi, nimesoma nimeona uko sawa.
Nilidhani kati ya hizo na PEP bei ni sawa kumbe ñi tafauti kabisa.
Bei ya PEP ndio ipo huko USD 600+, hizi nilishawahi kutumia mara 2 katika kipindi tofauti.
 
Hatari
 
Kwa nini kulia lia na Hela za wamarekani ambao wanachapa kazi usiku na mchana!

Trump ni mshirika muhimu sana wa maendeleo barani Afrika.
 
Zinatosha, maana yake ukienda leo kesho utazikuta ijapokuwa walitia jibu la juu juu, maana walipaswa zatisha mpaka lini. Ila hazitoshi mpaka 2029.
 
Ni wakati sasa kuishi kwa tahadhari, hakuna haja ya kuwa na michepuko.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…