Mbao za Mawe
JF-Expert Member
- May 11, 2015
- 23,372
- 54,943
Jamii forum ni sehemu yenye watu wa kila aina ,(wadukuzi wa mambo) vipo vitu vingi ambavyo vimepata majibu na pia wengi wamefahamu mengi sana kupitia jamii forum (hongereni wote wanaoshiriki kikamilifu kutoa taarifa mbalimbali hapa JF)
Ila leo ninahitaji tusaidiane katika hili,kuhusu kampuni ya coca cola ambayo ina miaka 130 tangu kuanzishwa kwake (may 08,1886)
Kampuni hii licha ya kuuza kuliko kampuni yeyote ile ya vinywaji hapa duniani ina mambo mengine ambayo ni siri sana naomba kwa mwenye ufahamu wake anaweza kutushirikisha.
Inasemekana kampuni hii licha ya kuwa na idadi kubwa ya wafanyakazi na kueneka karibia dunia nzima ni watu wawili tu wanafahamu kuhusu utengenezaji wa vinywaji vya kampuni hii.
Nilipata mshituko kuhusu siri hii kipi kipo nyuma ya pazia ,imebidi nije JF kushirikishana juu ya kampuni hii,(japo sina nia ya kuwatangaza vibaya ila ninahitaji kufahamu).
Ntashukuru kwa wote watakaofanikisha hili na kuweka nondo zenye kuhusu kampuni hii.
Ila leo ninahitaji tusaidiane katika hili,kuhusu kampuni ya coca cola ambayo ina miaka 130 tangu kuanzishwa kwake (may 08,1886)
Kampuni hii licha ya kuuza kuliko kampuni yeyote ile ya vinywaji hapa duniani ina mambo mengine ambayo ni siri sana naomba kwa mwenye ufahamu wake anaweza kutushirikisha.
Inasemekana kampuni hii licha ya kuwa na idadi kubwa ya wafanyakazi na kueneka karibia dunia nzima ni watu wawili tu wanafahamu kuhusu utengenezaji wa vinywaji vya kampuni hii.
Nilipata mshituko kuhusu siri hii kipi kipo nyuma ya pazia ,imebidi nije JF kushirikishana juu ya kampuni hii,(japo sina nia ya kuwatangaza vibaya ila ninahitaji kufahamu).
Ntashukuru kwa wote watakaofanikisha hili na kuweka nondo zenye kuhusu kampuni hii.