Unaifahamu vipi CocaCola?

Baba ndiye huchanganya?
 
ina alosto iyo noma,.nkiikosa sina ata raha
Arosto yake usipime,nilikuwa nakunywa tatu hadi nne kwa siku,niliteseka sana kuacha kuinywa,nilikuwa rafiki sana na wenye viosk(maduka ya mtaani),
 
wajenzi huru mkuu sidhani kama mikono yao imekosekana hapo....
shukrani bhana....
 
Huu ni uzushi tu.

Sasa kama ni wawili tu wanaojua, hawa wa hapa nyerere road wanatumia compounds zip kuipata coca??? Na wakati hawajui??? Au inashushwa na ndege na kujazwa ktk vyupa???
Wanaamanisaha ile.flavour mkuu
 
Unachosema ni kweli kabisa.

Coca-Cola za Atlanta ni tofauti kabisa na Coke za Bonite bottlers.

Hata Fanta orange za bongo ziko tofauti na zilizopo huko zilipoanzia.

Huenda labda hao bottlers huwa wana leeway flani kuendana na soko wanalohudumia.
Yeah, nakumbuka mwalimu wangu wa sekondari alikua mzungu mmarekani alipenda sana coke ya Tanzania nilivomuuliza kuwa zinatofauti? alinijibu kuwa hii ya huku hutumia real sugar ila kwao hutumia corn sugar
 
Hiyo habali y sili yawatu wawili niuongo uliokomaa kabisa
 
Ndio hii ambayo Baba Latifa huwa anasemaga hakamatiki akionja msisimko?
 
Duh!
nani amethibitisha kua ya mwaka 1886 huko nitofauti na ya mwaka 1870s halafu na ya 200s nitofauti naamini hata huyo mtu ange kuwepo mate yake yasinge kumbuka hiyo ladha tena
 
Duh!
nani amethibitisha kua ya mwaka 1886 huko nitofauti na ya mwaka 1870s halafu na ya 200s nitofauti naamini hata huyo mtu ange kuwepo mate yake yasinge kumbuka hiyo ladha tena
Coca cola wenyewe walieleza kwamba miaka hiyo walibadilisha ingredients zenye kuathiri ladha ya Coca cola.
 
Ni watu gani hao
 
Ulipo anza kusema COCA SIO KINYWAJI RAFIKI KWA AFYA ZETU nikajua unaleta sababu ili kutu saidia jibu na kutuokoa afya zetu wewe unasema tuende google. google?!
 
Diamond Platnumz-Taste The Feeling Anthem(Coca-Cola).

Nasikia furaha
Moyo wangu unapoanza tukiwa wawili
Ninayempenda sikatai ni wewe
Na hili joto la Dar
Tupate ya baridi Coca-cola tupozeshe na miili
Tuzidi furahi milele
Tena iwe hivi pamoja
Wewe na mi milele
Tuwe free
Wajue kwamba....
Sikamatiki nikionja msisimko
Hakuna cha kunishusha down
Sikamatiki nikionja msisimko
Oh!tena furaha
Namshukuru Mola we kunipata Mimi
Tujivinjari ukiwa name kwa ufukwe
Oh! tena bahari imejaa
Niongezew Coca-cola Nipige mbizi hadi chini
Tafadhali moyo wangu usiutupe
Tena iwe hivi pamoja
We nami milele
Tuwe free
Wajue kwamba....
Sikamatiki nikionja msisimko
Hakuna wakunishusha down
Sikamatiki nikionja msisimko
Hakuna wakunishusha down
Jua linapozama
Nyota zinazagaa
Shika nikushike mama
Tuzidi fika mbali
Tupate raha ya milele
Pamoja,Mimi na wewe
Tupate raha ya milele
Pamoja,Mimi na wewe
Sikamatiki nikionja msisimko
Hakuna wa kunishusha down
Sikamatiki nikionja msisimko
Hakuna wakunishusha down
Sikamatiki nikionja msisimko
Hakuna wa kunishusha down
Sikamatiki nikionja msisimko
Hakuna wa kunishusha down.
 
Aisee coke, ukipata baada ya kula msosi Wa moto...hutajutia
 
siri ya mpishi ni ngumu kuijua , sababu kuna mama anapika chakula huku kwetu watu wanakula sana na wanajaa sana, sasa kila mtu analake la kusema kuhusu siri za huyu mama lakini ukweli anaujua mwenyewe
 
Yaani mkuu unataka utafuniwe kila kitu,hapana, that is too much.Acha uvivu mkuu.Ni lazima WaTZ tujenge tabia ya kusoma.Or else tutaendelea kuwa mbumbu na jamaa wataendelea kufanya vitu vyao bila sisi kujua.
Ulipo anza kusema COCA SIO KINYWAJI RAFIKI KWA AFYA ZETU nikajua unaleta sababu ili kutu saidia jibu na kutuokoa afya zetu wewe unasema tuende google. google?!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…