Siku hizi kucheat imekuwa jambo la kawaida kabisa.[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]
Leo nipo Hoteli flani ambayo nilikuwa nimefikia Kikazi kama wiki mbili hili, nikawa napiga stori pale reception na Wafanyakaz wa hotel.
Akaja jamaa mmoja anaonekana ni ealy 30's yaani ni chini ya miaka 35. Akachukua room ya Sh. 95 elfu akazama ndani.
Baada ya Muda akaingia Mmama (anawajukuu kabisa maana namfahamu, nilikuwa nakula Binti yake ambaye anawatoto wawili sahizi .)
Basi yule mama aliponiona alishituka kidogo lakini akajikaza, na Kunipa Salam "Mambo,
Nobrain " nikamuitikia Kisha akapokelewa na yule jamaa kwa Mabusu Mengi sana wakazama ndani.
Kesho yake me natoka Hotel naingia Mtaani kuzurula na yeye ndo anatolewa kwa Kuagwa na mabusu kiana.
Daaah, nikasema dunia Tutafika kwa Taabu sana Nchi ya Ahadi, maana yule mama tunamuheshimu sana mtaani pamoja na Mume wake.
Mumewe pia nimewahi kumkuta kiwanja Flani hapa mkoani yupo na Dem wa mshikaji wangu, kumbe naye huwa anakula pale[emoji1787]