Unaijua mila ya kutakasa Wajane Ukerewe?

Unaijua mila ya kutakasa Wajane Ukerewe?

DATAZ

JF-Expert Member
Joined
May 25, 2012
Posts
3,799
Reaction score
10,196
Hii Ni mila maarufu sana katika kabila la Ukerewe. Mara baada ya mwanamke kufiwa na Mumewe huchukuliwa na jamii kama aliyeingiwa na mikosi na hivyo hustahili hutengwa.

Hivyo ili aweze kuiondoa mikosi hiyo hulazimika kwenda kwa mtaalam ili apate kutakaswa. (Cleansing)

Tendo la kutakaswa hufanyika kwa mwanamke huyo mjane, kushiriki tendo la ndoa huyo mtaalam na kisha ndipo mikosi hiyo humtoka

Watu wanaopinga mila hii wanahoji, utakaso wa aina hii unatibu mikosi gani hasa, Kama sio kuiongeza? Kuna hatari nyingi ikiwa ni pamoja na maambukizo ya maradhi.

Kwa hakika Mila nyingine Ni laana.
 
Watu wa Murutunguru hao. Wanaamini uchawi kuliko pesa
 
Sifa za kuwa mtaalam ili uletewe utelezi ni zipi wajuba waangalie uwezekano wa kufanya outreach Ukelewe
 
Cha kusikitisha zaidi ni wazazi wa huyo mjane wanavyoshinikiza binti yao aende akatakaswe ili kuondoa mikosi katika familia.
Halafu mtakasaji utakuta hatumii hata condom ni mwendo wa kusambaziana ngwengwe tu.
 
Sifa za kuwa mtaalam ili uletewe utelezi ni zipi wajuba waangalie uwezekano wa kufanya outreach Ukelewe
Hili ni swali zuri..Ngoja tusubiri majibu..Inaweza ikawa ni fursa hii...Hivi si wanalipwa hao jamaa wanaotakasa wanawake waliofiwa?
 
Back
Top Bottom