[emoji16][emoji16][emoji16][emoji120]Na vipi mwanaume aliyefiwa mkewe, je naye anatakaswa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji120]Na vipi mwanaume aliyefiwa mkewe, je naye anatakaswa?
Yaani utibiwe kwa condom?Cha kusikitisha zaidi ni wazazi wa huyo mjane wanavyoshinikiza binti yao aende akatakaswe ili kuondoa mikosi katika familia.
Halafu mtakasaji utakuta hatumii hata condom ni mwendo wa kusambaziana ngwengwe tu.
Sio wa mulutilima au Galu au Kakukuru...Umenikumbusha mbali sana mdauWatu wa Murutunguru hao. Wanaamini uchawi kuliko pesa