J jaranono JF-Expert Member Joined Jun 24, 2015 Posts 2,023 Reaction score 1,627 Feb 12, 2022 #21 prettya said: Na vipi mwanaume aliyefiwa mkewe, je naye anatakaswa? Click to expand... [emoji16][emoji16][emoji16][emoji120]
prettya said: Na vipi mwanaume aliyefiwa mkewe, je naye anatakaswa? Click to expand... [emoji16][emoji16][emoji16][emoji120]
Mromboo JF-Expert Member Joined Jan 25, 2012 Posts 2,966 Reaction score 6,593 Feb 12, 2022 #22 Flano said: Cha kusikitisha zaidi ni wazazi wa huyo mjane wanavyoshinikiza binti yao aende akatakaswe ili kuondoa mikosi katika familia. Halafu mtakasaji utakuta hatumii hata condom ni mwendo wa kusambaziana ngwengwe tu. Click to expand... Yaani utibiwe kwa condom? Uliona wapi mtu akameza dawa na boxi lake?
Flano said: Cha kusikitisha zaidi ni wazazi wa huyo mjane wanavyoshinikiza binti yao aende akatakaswe ili kuondoa mikosi katika familia. Halafu mtakasaji utakuta hatumii hata condom ni mwendo wa kusambaziana ngwengwe tu. Click to expand... Yaani utibiwe kwa condom? Uliona wapi mtu akameza dawa na boxi lake?
GRANITE II JF-Expert Member Joined Oct 24, 2016 Posts 540 Reaction score 965 Feb 12, 2022 #23 Deceiver said: Watu wa Murutunguru hao. Wanaamini uchawi kuliko pesa Click to expand... Sio wa mulutilima au Galu au Kakukuru...Umenikumbusha mbali sana mdau
Deceiver said: Watu wa Murutunguru hao. Wanaamini uchawi kuliko pesa Click to expand... Sio wa mulutilima au Galu au Kakukuru...Umenikumbusha mbali sana mdau