Unaijua movie ya "Some Like It Rare"?

Unaijua movie ya "Some Like It Rare"?

Vincenzo Jr

Platinum Member
Joined
Sep 23, 2020
Posts
24,262
Reaction score
58,728
Inahusu mtu na mumewe walikuwa wanafanya biashara ya kuuza nyama za ng'ombe sasa walikuwa kama na mikosi hivii unajua kwa nini nyama zilikuwa azitoki yaani aziuziki zikibaki wakimpa mbwa wao alikuwa ali na azipendi pia sasa siku moja katika pitapita walikuwa wakitembea na gari yao walimgonga binadamu ili kupoteza ushahidi ikabidi waikate nyama ile ya binadamu sasa karibu kulikuwa na mbwa wao nae wakampa sikio la yule binadamu akalipenda akala sasa wakapata wazo la kuuza nyama ya binadamu ndani ya butcher lao

Aloo zilitoka sana waliuza sana basi kazi yao ikawa ni kuua na kusaga nyama ya binadamu na kuuza na watu walikuwa hawajashtukia hiyo nyama kuwa ni ya binadamu wakikuwa wakiisifia kuwa ni tamu sana je baadae itakuwaje fanya kuicheki ili ujue mtu wangu.

Intelligent businessman Dream Queen Depal Mr Q Franky Samuel

some-like-it-rare-button-1663801763618.jpg
 
Whisper_poster.jpg

Hii inaitwa Whisper ni korean drama

Kuna jamaa ni judge ambaye ana backup ya wakubwa wake wa kazi ndio waliomweka hiyo nafasi anatoa hukumu kwa baba mmoja mwenye binti mkubwa hivi ambaye hana hatia na yeye analijua Hilo wakubwa wake wa juu Ndio ametoka iwe hivyo.Baada ya kumuhukumu huyo mbaba binti anakasirika anaamua kumfuatilia Yule judge mpaka anamtengenezea mazingira kuwa amebakwa Ili kujua ukweli kupitia huyo Judge nani amehusika kwenye kesi ya kuua aliyotengenezewa baba yake. Huyo binti anamwambia judge either afate masharti yake au haivujishe hiyo video akionesha anabaka, Judge anabaki kwenye wakati mgumu kuamua kukaa upande upi huu wamamlaka ya juu au kufuata upande wa huyu binti Ili video yake isivujishwe public? Ndio utamu wa drama unaanzia hapo
 
View attachment 2785209
Hii inaitwa Whisper ni korean drama

Kuna jamaa ni judge ambaye ana backup ya wakubwa wake wa kazi ndio waliomweka hiyo nafasi anatoa hukumu kwa baba mmoja mwenye binti mkubwa hivi ambaye hana hatia na yeye analijua Hilo wakubwa wake wa juu Ndio ametoka iwe hivyo.Baada ya kumuhukumu huyo mbaba binti anakasirika anaamua kumfuatilia Yule judge mpaka anamtengenezea mazingira kuwa amebakwa Ili kujua ukweli kupitia huyo Judge nani amehusika kwenye kesi ya kuua aliyotengenezewa baba yake. Huyo binti anamwambia judge either afate masharti yake au haivujishe hiyo video akionesha anabaka, Judge anabaki kwenye wakati mgumu kuamua kukaa upande upi huu wamamlaka ya juu au kufuata upande wa huyu binti Ili video yake isivujishwe public? Ndio utamu wa drama unaanzia hapo
Ngoja niidownlod
 
Inahusu mtu na mumewe walikuwa wanafanya biashara ya kuuza nyama za ng'ombe sasa walikuwa kama na mikosi hivii unajua kwa nini nyama zilikuwa azitoki yaani aziuziki zikibaki wakimpa mbwa wao alikuwa ali na azipendi pia sasa siku moja katika pitapita walikuwa wakitembea na gari yao walimgonga binadamu ili kupoteza ushahidi ikabidi waikate nyama ile ya binadamu sasa karibu kulikuwa na mbwa wao nae wakampa sikio la yule binadamu akalipenda akala sasa wakapata wazo la kuuza nyama ya binadamu ndani ya butcher lao

Aloo zilitoka sana waliuza sana basi kazi yao ikawa ni kuua na kusaga nyama ya binadamu na kuuza na watu walikuwa hawajashtukia hiyo nyama kuwa ni ya binadamu wakikuwa wakiisifia kuwa ni tamu sana je baadae itakuwaje fanya kuicheki ili ujue mtu wangu.

Intelligent businessman Dream Queen Depal Mr Q Franky Samuel

View attachment 2785117
Kuna jamaa sijui wageni au rafiki wa familia waliingia humo ndani wakakuta viungo Vya watu vinatengenezwa ndo hii au
 
13 hours in Benghazi

Hypnotic 2023

Mission impossible fall out 2018

Mission impossible dead reckoning 2023

6 underground

Equalizer. Part 1. 2.3

Hacksaw ridge

Love again 2023

2 heart 2023

Joy Ride 2023

Whitney Houston 2023


Tafuten hizi movie kwanza
Hypnotic ni kazi nzuri sana
 
[emoji16][emoji16][emoji16] hii movie sister alishindwa kula kuku mwamba nikajisevia kiulaini

Gatito el Muto Dueve Merci
🤣🤣🤣😂Mwishoni waligundua kuwa wanalishwa nyama za watu baada ya kugundua kile ki pisi meka cha moyo wa binadamu kwenye supu
 
Back
Top Bottom