Unaijua Vipepeo ya Clouds? Basi mimi nataka kuja na mapopo kwa ajili ya watoto wa kiume

MSAGA SUMU

JF-Expert Member
Joined
May 25, 2015
Posts
6,661
Reaction score
21,656
Kumekuwa na utamaduni mkubwa nchini na duniani kuwa mtoto wa kike siku zote ni muathirika wa matukio fulani fulani na mtoto wa kiume yeye ni mtukutu, hii sio sahihi.

Basi nataka kuanzisha kampeni maalum kwa ajili ya kuwaimpower watoto wa kiume nchini na nimeamua kuipa jina la MAPOPO.

Nitakuwa nazunguka shule kadhaa kuwapa semina na mambo kadhaa huku tukitumia wasanii kadhaa wenye mwelekeo wa mfumo dume kama Dudu Baya, Diamond nk.

Nipeni maoni kuhusu hii program yangu mpya.
 
Wazo zuri.Hapo kwenye wasanii itabidi wawe MAPOPO kwer.mfano kimbunga mchawi,kalapina,kazoa,dude bila kumsahau jasili muongoza njia dr shika.ili wawe mapopo kwerikweri.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…