Unaikumbuka Barcelona ya Frank Rijkaard?

Unaikumbuka Barcelona ya Frank Rijkaard?

Ilipigwa hadi walichanganyikiwa. Messi sio wa sport sport bwana. Atakudhalilisha mpaka basi, hata awe beki wa namna gani atanyooka tu. Awaulize wakina NESTA, ROBERTO CARLOS, CANNAVARO N.K walivyodhalilishwa,,,, KING is marvelous 😀😀😀
wanamkaba kwa macho,alikutana na lasana diara,na zile beki za inter Milan,hata mechi arsenal anashinda messi alikua anazurura tu uwanjani..mechi arsenal anapgwa 4,arsenala ilikua na majeruhi 7 first eleven..beki silivester
 
Najiuliza Messi na Ronaldo wakistaafu soka litakuwa na ladha gani!

Messi alone aki-Retire soka litakuwa la kawaida sana. U know that kamanda!!! Ronaldo yuko kwenye kivuli cha Messi,, yani amshukuru mno Mwargentina huyu kuwepo nyakati zake otherwise ballon d'or angelikuwa anazisikia kwa akina iniesta,Xavi na bosquets. Hana mpira wa kuvutia ki-hivyo___kwa ufungaji na Penalties tu ronaldo mtamu___kwa perfomance, ufungaji na manjonjo yote uwanjani basi King ni mtamu zaidi ya mchezaji yeyote duniani.



  • MESSI ni Computer
  • MESSI ni Play Station
  • MESSI ni Professor wa Players walopita na wa sasa
  • Only MESSI is the true king of soccer
  • Only MESSI is the true magician soccer
  • MESSI showed he is the most complete player ever
  • I'll never see a player like him again
  • MESSI is the greatest footballer of all time
There is no defence that can stop KING MESSI


LEONEL KING IS MARVELLOUS
 
Uko sahihi Mkuu...
Hayuko sahihi amekosea barca alishinda mechi ya kwanza 2-1 mechi ya pili akafungwa 4-2 total ikawa 5-4,

Chelsea alitolewa na liverpool na liver akawa bingwa
Fainali mwaka huo liver na ac milan
3-3 baadae liver akashinda kwa penalty baada SHEVCHENKO KUKOSA PENALTY.
 
Back
Top Bottom