Unaikumbuka filamu gani iliyokaribia kukutoa machozi

Unaikumbuka filamu gani iliyokaribia kukutoa machozi

Analogia Malenga

JF-Expert Member
Joined
Feb 24, 2012
Posts
5,108
Reaction score
10,191
Waandishi wa filamu walikuwa na vionjo vyao katika maisha ya mateso ambayo mtazamaji anaweza jikuta anamwaga machozi wakati anaangalia filamu.

Hali hii ilikuwepo hata Tanzania kipindi filamu zinafanya vizuri kuliko sasa, filamu kama Dunia Hadaa, Safari, nk zilikuwa na vionjo vya kuteka hisia za mtazamaji.

Baadae wanaijeria wakatushinda kwenye filamu za sampuli hiyo, wakawa wanaandika stori ambazo kweli ukiangalia inakuonyesha ubaya wa watu, ziko filamu kama Orphan, Afro, nk.

Wahindi na wazungu nao wanazakwao ambazo ukiangalia unatekwa kihisia kiasi cha kuona mchozi unaweza kukaribia kutoka. Na wengine walikuwa wanalia moja kwa moja kwa kuguswa tu na stori ya filamu husika.

Je una filamu ipi unayoikumbuka imewahi kujaribu kuudondosha mchozi wako?
 
Waandishi wa filamu walikuwa na vionjo vyao katika maisha ya mateso ambayo mtazamaji anaweza jikuta anamwaga machozi wakati anaangalia filamu.

Hali hii ilikuwepo hata Tanzania kipindi filamu zinafanya vizuri kuliko sasa, filamu kama Dunia Hadaa, Safari, nk zilikuwa na vionjo vya kuteka hisia za mtazamaji.

Baadae wanaijeria wakatushinda kwenye filamu za sampuli hiyo, wakawa wanaandika stori ambazo kweli ukiangalia inakuonyesha ubaya wa watu, ziko filamu kama Orphan, Afro, nk.

Wahindi na wazungu nao wanazakwao ambazo ukiangalia unatekwa kihisia kiasi cha kuona mchozi unaweza kukaribia kutoka. Na wengine walikuwa wanalia moja kwa moja kwa kuguswa tu na stori ya filamu husika.

Je una filamu ipi unayoikumbuka imewahi kujaribu kuudondosha mchozi wako?
Tsosi ya wa south Africa yule dogo mafia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Family tears by kanumba dah pale lulu anagoma kumwacha apike akiwa kipofu
 
3 Idiots. Kipindi naicheki nilikua sipo vizuri na mzee, scenes za yule dogo na baba yake zilinitoa machozi.
 
Waandishi wa filamu walikuwa na vionjo vyao katika maisha ya mateso ambayo mtazamaji anaweza jikuta anamwaga machozi wakati anaangalia filamu.

Hali hii ilikuwepo hata Tanzania kipindi filamu zinafanya vizuri kuliko sasa, filamu kama Dunia Hadaa, Safari, nk zilikuwa na vionjo vya kuteka hisia za mtazamaji.

Baadae wanaijeria wakatushinda kwenye filamu za sampuli hiyo, wakawa wanaandika stori ambazo kweli ukiangalia inakuonyesha ubaya wa watu, ziko filamu kama Orphan, Afro, nk.

Wahindi na wazungu nao wanazakwao ambazo ukiangalia unatekwa kihisia kiasi cha kuona mchozi unaweza kukaribia kutoka. Na wengine walikuwa wanalia moja kwa moja kwa kuguswa tu na stori ya filamu husika.

Je una filamu ipi unayoikumbuka imewahi kujaribu kuudondosha mchozi wako?
NERIA hii iliigizwa nigeria. Hii filam nliiangalia nlilia kabisa
 
Back
Top Bottom