Unaikumbuka hii JohnTerry kuwa mlinda mlango!

Ni swali zuri ila usiku huu watu wanaosha zama kwa zile staili pendwa za popo kanyea mbingu. Vuta subira kijana wa zamani ma file tutapekua asubuhi. Mm niko lindo tu
 
nahisi ilikua 2006 petr cech kipa wa chelsea alipoumia kichwa vibaya mno mpaka tv hazikuweza kuonyesha tukio lile mara ya pili..aliingia kipa mwingine jina nimemsahau nae akaumia....ndo john tery ilibidi avae groves za ukipa....dah ilikua noma sana
 
Ilikuwa Chelsea Vs reading, mwaka 2006 kama sikose, Petr Czech, aliumia akaingia cudicin naye kaumiaaa!
 
nahisi ilikua 2006 petr cech kipa wa chelsea alipoumia kichwa vibaya mno mpaka tv hazikuweza kuonyesha tukio lile mara ya pili..aliingia kipa mwingine jina nimemsahau nae akaumia....ndo john tery ilibidi avae groves za ukipa....dah ilikua noma sana
Aliingia Carlo Cudicini naye aliumia pia.. ilikuwa unforgetable match kwa kweli.. Baada ya hizo games Hilario ndo akawa kipa wa chelsea
 
14 October 2006 Reading v Chelsea
Peter Cech alipata head injury.
Carlo Cudicin akapata injury pia dakika za mwisho.

Nakumbuka game hii Obi Mikel alipewa red card na ilikuwa game yake ya kwanza kucheza Chelsea, na mchezaji mmoja wa Reading alipata card nyekundu pia

Niliitazama hii game
 
Hahahah umiza ndonga kijana hii ni copy and paste [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Uko sahihi mzee baba
 
Hivi wadau kwa Tukio kama hili Uvaaji wa Jezi namba unakaaje. Means kama JT alikuwa na jezi namba 5 then akaenda kuvaa ya Golikipa iliyopo let say ni jezi namba 26 huuu mkanganyiko huwa unatatuliwa vipi?
 
nahisi ilikua 2006 petr cech kipa wa chelsea alipoumia kichwa vibaya mno mpaka tv hazikuweza kuonyesha tukio lile mara ya pili..aliingia kipa mwingine jina nimemsahau nae akaumia....ndo john tery ilibidi avae groves za ukipa....dah ilikua noma sana
Asante kwa kutukumbusha hii
Kumbe ndio maana peter huwa anavaa lile dude kichwani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…