Unaikumbuka hii ya Jackie cliff?

warumi

R I P
Joined
May 6, 2013
Posts
16,218
Reaction score
18,440
Duh wewe jux sio mtu mzuri, ndio nini kutupa presha kipindi kile?, ukajifanya wewe ndo Jackie ukaingia kwenye account ya instagram ya jack na kujifanya jack ukapost utumbo unaoujua wewe, au ndo ulikuwa unaifanyia promo ile nyimbo yako iliyofungiwa? Watu kutwa tunashinda airport tukimsubir jack atue bongo, kumbe holaa, wewe jamaa nimekuvulia kofia aiseeh, umetutia aibu Team Jack, maana tulishaanza kuwachamba waliofurah jack kufungwa, kumbe mwenzio bado yupo lupango ananyea debe.
 

Attachments

  • 1395834040825.jpg
    57.6 KB · Views: 824
Kwani walikuwa wapenzi au alihack account ya Jackie?
 
Hiyo inaonyesha kua jamaa wana mahusiano....
Alafu kuna huyu dogo "mo racka" nae nadhani ana mahusiano na yule punda
 
yeye mwenyewe jux alihojiwa pale sambaza upendo fm sikuambayo alikuwa anautambulisha wimbo wake nitasubili mkulima wa ndumu akamuuliza hii true story ama niyakusadikika yealichojibu alisema nitrue story mama wa veve akarukia nakumuuliza inamuhusu nani maana tunasikia fununu yawewe kudate na jack akasema inamuhusu huyohuyo jack kwakuwa ndie mmpenzi wake hivi karibuni tena nasikia kahamia kwa mkomao vee money hawa wasanii bwana kweli na mapenzi nayo wamegeuza sanaa hawaogopani
 
Nimesikia taarifa kuwa kutokana na mahusiano mazuri na China bado hawajanyongwa, watanyongwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…