Unaikumbuka timu hii ya Taifa ya Uholanzi

Kwa wapenzi wa soka wa zamani tukumbushane majina ya wachezaji wa kikosi hiki

Kikosi kizuri, Edwin van Der Sar, Patrick Kluivert, Clarence Seedorf, Michael Reiziger, Dennis Bergkamp, Jaap Stam, Edgar Davids, Phillip Cocu, Boudewjin Zenden, Frank De Boer, Giovanni van Bronckhorst. Wengi sasa hivi ni managers and coaches
 



Pia hiki kikosi kilikuwa kizuri sana including Marco Van Basten, Ruud Gullit, Ronald Koeman, Danny Blind, Aaron Winter, Frank Rijkaard, Vanenburg, Wouters and Johnny Bosman. Coached by the legendary coach Rinus Michels.
Katika kitu kinaniboa kwenye soka ni majeruhi.. marco van basten aliuacha mpira mapema kisa majeruhi..

Marco reus tunakosa kuona ubora wake, jack wilshere n.k(japo ni nje ya mada)
 
Namuona mikono ya nyani edwin, seedorf, kluivert, edgar, kisiki stam, winga teleza overmars, team captain mwenyewe naona crystal palace wamemkimbiza de boer, zenden, philip cocu, van bronckhorst,reiziger.. mwisho kabisa nmeamua nmtenge peke yake ni fundi wa mafundi dennis bergkamp.. jamaa ni mwisho, skills za hali ya juu, mpira mwing mguuni, soka lake maridadi sio nguvu kulukundu.. mzee wa mabao matamu.. assist za lovely pass.
 
Ila walifanywa vibaya Euro 2000 kwao Stam akapaisha penati kama anatungua nazi.
Walikutana na mjomba italy nahisi walikosa bahati tu ila waliupiga mpira mwingi.. uholanzi mara nyingi wanakosa zali.. salipiga mpira mwingi mnoo. Km sikosei walikosa penat mbili ndan ya dakik 90.. golikipa ni toldo yule pale kwa waitaliano..
 
Katika kitu kinaniboa kwenye soka ni majeruhi.. marco van basten aliuacha mpira mapema kisa majeruhi..

Marco reus tunakosa kuona ubora wake, jack wilshere n.k(japo ni nje ya mada)
kwa kipaji cha Marco Reus na majeraha yanayomsibu kila kukicha kuna muda mwingine unaweza ukatokwa na machozi! Hana bahati. Ni kama ilivyotokea kwa akina Owen Hargreaves, Martin Laursen, Dean Ashton na wengineo!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…