Camilo Cienfuegos
JF-Expert Member
- Apr 23, 2015
- 18,960
- 67,654
Nyakati zimekwenda wapi, Hargreaves wa Bayern alikuwa moto sana!Mzee mwenzangu huyo Owen Hargreaves alikuwa moto nakumbuka game moja kaumia mkongwe Stefan effenberg akaingia waqt mdogo nadhani ilikuwa game na ac Milan duh dogo alipiga mpira mwingi sana.
Definitely, wewe ni mhenga!!!!Naam mabao ya guilt captain na Michael van busten yalitosha kuwauwa muungano wa soviet (soviet union )na ndio yalikuwa mashindano ya mwisho ya muungano huo kucheza mashindano hayo. Ule upacha wa Basten rudy pamoja na Rijkaard ulikuwa wa aina yake.
Hawa ndo vijana wa zamani. Wazee wa jf.Kama sikosei Frank alikosa penati ndani ya dakika 90 akakosa penati pia baada ya dakika za nyongeza Toldo aliibuka shujaa Waholanzi hawakuamini maana walikuwa na kikosi kizuri sana.........Ila Waitaliano nao walienda kulizwa fainali na Mfaransa waliuliwa na goli la dhahabu.
Ni fainali ambayo Brazil alikuja kukutana na France katika Final, ambapo Zinadine Zidane "alijitwisha mtu kwa kichwa"Dah,mkuu usinikumbushe suala la jamaa kukosa bahati,ilikuwa nusu fainali Uholanzi na Brazil,1998 France,Uholanzi anakufa kwa penalti,niliumia kwa kweli..sidhani kama hawa Holland wangeingia fainali na wenyeji, wenyeji wasingebeba ndoo kirahisi vile..Jamaa walikuwa wametimia kwa kweli..
R.G nilipenda kumuita bob marley,alikuwa kakamilika kweli kweli.Naona Ruud Gullit alikuwa kiungo kizuri sana. Offensive, defensive, he could score goals and create goals, one greatest player of all times.
Pamoja sana mdau usijaliUko sahihi, i was writing very quickly.
Wengi hapo ni zao la Klabu ya Ajax Amsterdam!Kwa wapenzi wa soka wa zamani tukumbushane majina ya wachezaji wa kikosi hiki
mkuu asante umenikumbusha mbali sanaKwa wapenzi wa soka wa zamani tukumbushane majina ya wachezaji wa kikosi hiki
Yeye Aaron winter na crelence seedorf wazaliwa wa Paramaribo hawa walikuwa chachu ya soka bora la club ya ajax japo timu yao ya taifa walikuwa wakienda sana nusu fainali isipokuwa kaka zao kina guilt ndio walibahatika kuonyesha kwapa mwaka wa 1988. Winston bogade kina Michael raizger ilikuwa unatizama the orange kweli.Edgar Davies
Hakikutwaa kombe hata la mbuzi!Mkuu kabla ya kuona hata picha nilishawaza hiki kikosi, kilikua cha aina yake.
Upo sahihi kabisaDefinitely, wewe ni mhenga!!!!
seedorf kaondoka na utamu wake ac milan nilikuwa namuona umri umeenda lakin anapiga mpira wa maanaYeye Aaron winter na crelence seedorf wazaliwa wa Paramaribo hawa walikuwa chachu ya soka bora la club ya ajax japo timu yao ya taifa walikuwa wakienda sana nusu fainali isipokuwa kaka zao kina guilt ndio walibahatika kuonyesha kwapa mwaka wa 1988. Winston bogade kina Michael raizger ilikuwa unatizama the orange kweli.
Ndio wale maaskari wanakufa na bunduki zao mzaliwa wa Suriname huyu ilipo huko amerika ya kusini lakini ni koloni la wadachi sera ya kuwachukua na kuwapeleka udachini ndio ilisaidia kuokoa vipaji vya magwiji hawa. Seedorf alikuwa ana tabasamu tu akiwa uwanjani na ukiangalia kwa umakini utauona mpira ukifika kwake nao unatabasamu na kutii sheria.seedorf kaondoka na utamu wake ac milan nilikuwa namuona umri umeenda lakin anapiga mpira wa maana
Mchezaji akishakuwa prone to injury, huwa ndio mwisho wa kipaji mara nyingi, too bad [emoji22]Katika kitu kinaniboa kwenye soka ni majeruhi.. marco van basten aliuacha mpira mapema kisa majeruhi..
Marco reus tunakosa kuona ubora wake, jack wilshere n.k(japo ni nje ya mada)
Fenomeno.. chief huyu kiumbe ni nux, dunia ya sasa tunakosa striker kama hii, mpira mguuni ulikuwepo wa kutosha udambwi udambwi na umate wake ulikuwemo, hebu fikiria mtu aujue mpira kama neymar au gaucho kisha alijue goli kama lewandowski au cr7, ndio de lima mmoja, pamoja na kufunga jamaa alikuwa na skills si mchezo, ana rekod ya mabao 88 kumchukua mpaka kipa..mkuu asante umenikumbusha mbali sana
1998 semi final moja kali sana wakicheza na brazil ni kama namuona de lima anamvyomtoka frank de boer na kufunga moja ya magoli mazuri kabisa ambayo nimepata kuyaona
Seedorf alikuwa anaujua mpira hasa, sijui nimlinganishe na nani sasa, alikuwa anaisukuma tim juu vizur mnoo, anafukia mashimo, anadrible mpira maridadi huku akilamba vyenga lain, mzuri kwa pasi..Ndio wale maaskari wanakufa na bunduki zao mzaliwa wa Suriname huyu ilipo huko amerika ya kusini lakini ni koloni la wadachi sera ya kuwachukua na kuwapeleka udachini ndio ilisaidia kuokoa vipaji vya magwiji hawa. Seedorf alikuwa ana tabasamu tu akiwa uwanjani na ukiangalia kwa umakini utauona mpira ukifika kwake nao unatabasamu na kutii sheria.
Kila nikimtizama reus wallah nabata ushungu sana..Mchezaji akishakuwa prone to injury, huwa ndio mwisho wa kipaji mara nyingi, too bad [emoji22]
Kwangu mimi hiki kilikuwa kikosi bora kuliko kile cha akina Davids, de Boer, Cluivert nk
Pia hiki kikosi kilikuwa kizuri sana including Marco Van Basten, Ruud Gullit, Ronald Koeman, Danny Blind, Aaron Winter, Frank Rijkaard, Vanenburg, Wouters and Johnny Bosman. Coached by the legendary coach Rinus Michels.
Waweza kuwa sahihi kwani kilifika kilele cha mafanikio ukiachilia mbali world cup ya mwaka 1974 ya akina Johan cruffy ambao waliishia final na kufungwa mbili moja na ujerumani magharibi kisha world cup iliyofuatia mwaka 78 pia wakatinga final na kupigwa 3 -1na wenyeji Argentina basi una haki zote za kukiita hiki kikosi kilikuwa bora kwa maana ya mafanikio.Kwangu mimi hiki kilikuwa kikosi bora kuliko kile cha akina Davids, de Boer, Cluivert nk
Na jeuri sanaGerman machine.. stefan effenberg, mtu mgumu huyu