makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 31,583
- 92,670
Dah!! Kuna tabu kidogo, jombaa ushaudananda hata kidogo!? Kuna turn zimeambatana na touchTurn is not a touch!!
Alijitahid kidogo lakin alikuwa nae mbali sana.. alikuwa na jicho kama la fabregas ama ozil kwenye goli la mpinzani, skills hatari mguuni, akili mujarab kichwani..Watu wa kariba ya Bergkamp huwa hawazaliwi hovyo hasa katika kizazi hiki ambacho soka limetekwa na pesa za Warusi na Waarabu.
Kidogo Dimitar Berbatov alijitahidi kuvaa viatu vya Bergkamp lakini sio kwa kiwango kikubwa. Soka limepoteza vipaji halisi na maridhawa!
aliwafunga Argentina mkuu, alimgeuza Roberto Ayala kama chapati.Robo fainali kombe la dunia Ufaransa aliwafunga Argentina moja ya magoli bora kabisa kuwahi kufungwa kwenye kombe la Dunia
mkuu acha kubisha tafuta kwanza goli lenyewe uone jinsi mwanamume alivyoturn na mpira kisha ndio uje ubishe!Turn is not a touch!!
Na makocha wengi vichaa wakapenda style yao, na hapo ndipo watu kama akina Jose Mourinho walipoibuka na falsafa zao za kujilinda zaidi na kushambulia kwa kushtukiza.Hadi wanabeba ndoo hawa jamaa sikupenda style yao.
Mkuu afadhali umenisaidia jamaa ni mbishi sana!Dah!! Kuna tabu kidogo, jombaa ushaudananda hata kidogo!? Kuna turn zimeambatana na touch
Angalia goli alilofunga huyo huyo dennis berkgamp vs newcastle turn yake iliambatana na touch
Neymar vs athletic bilbao alimpiga mtu kanzu on turning.. pale turn na touch viliambatana.
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Mkuu afadhali umenisaidia jamaa ni mbishi sana!
Hujui mpira nenda kashangilie BaseballMoja ya Kikosi kibovu Kuwahi kutokea ni hiki!!!!! Hakijawahi kupata mafanikio ya aiba yotoe
Unakengeuka sasaTurn is not a touch!!
Commentator alisema " Three touches, control, turn and finish. "
Kwa hiyo hiyo three touches pia iliambatana na dennis berkamp vs newcastle???Dah!! Kuna tabu kidogo, jombaa ushaudananda hata kidogo!? Kuna turn zimeambatana na touch
Angalia goli alilofunga huyo huyo dennis berkgamp vs newcastle turn yake iliambatana na touch
Neymar vs athletic bilbao alimpiga mtu kanzu on turning.. pale turn na touch viliambatana.
Basi mie pia ni mshika bunduki.. tizama vizur hiyo turn yake imeambatana na touch.. hyo touch unayoizungumzia ameipiga katika motion ya kuturn, kama hyo touch asingeifanya katika mjongeo wa turning basi mpira ungekwenda tofaut. Kaa tizama upya.Kwa hiyo hiyo three touches pia iliambatana na dennis berkamp vs newcastle???
Kulikuwa na turn ila narudia a turn is not a touch, berkamp alifanya only two touches with a seemingly impossible one turn to send the Newcastle defender down the toilet!
Mi ni The Gooner by the way!! My players nawajua inside out na hata classic goals walizofunga!! Kwenye arsenal niite Muhenga haswa!!
Only two touches from The Maestro himself Dennis Berkamp.
A turn is not a touch, unless ktk footballing language ya uswazi, literally, in tootball, a turn is not a touch!!Unakengeuka sasa
Kuna turns ngapi hapo kwa mtazamo wako??Basi mie pia ni mshika bunduki.. tizama vizur hiyo turn yake imeambatana na touch.. hyo touch unayoizungumzia ameipiga katika motion ya kuturn, kama hyo touch asingeifanya katika mjongeo wa turning basi mpira ungekwenda tofaut. Kaa tizama upya.
Only 1.Kuna turns ngapi hapo kwa mtazamo wako??
Na touches??Only 1.
Unazungumzia ipi against argentina au against newcastle.Na touches??
Niliyoweka clip, vs newcastle!Unazungumzia ipi against argentina au against newcastle.
Touch moja..Niliyoweka clip, vs newcastle!
Touches za berkamp.
Mmh, haya! Ila mimi nimeona touch mbili na turn moja za berkamp mpaka mpira unagusa nyavu!Touch moja..
Touch yake iliambatana na turning
Akamguard bek, tunasema konga, then akascore