Unaikumbuka timu hii ya Taifa ya Uholanzi

Unaikumbuka timu hii ya Taifa ya Uholanzi

Kwa hiyo hiyo three touches pia iliambatana na dennis berkamp vs newcastle???
Kulikuwa na turn ila narudia a turn is not a touch, berkamp alifanya only two touches with a seemingly impossible one turn to send the Newcastle defender down the toilet!
Mi ni The Gooner by the way!! My players nawajua inside out na hata classic goals walizofunga!! Kwenye arsenal niite Muhenga haswa!!

Only two touches from The Maestro himself Dennis Berkamp.
Goli bora kuwahi kufungwa ndani ya miaka 25 ya EPL.
Touch Turn and Finish.
Arsenal halali yenu kupata tabu sasa hivi mlisha pata raha sana zamani.
 
Bro, huyu ndiye real master,The General". He said, "Professional football is something like war. Alianzisha total football, aliwafundisha Cruyff, Gullit, Marco Van Basten, Rijkaard, Koeman. Pia huyu Louis Van Gaal alijifunza kutoka kwa Huyu Rinus Michels. Yeye ndio alioaznsha Barcelona style of football kama tunavyoijua leo. Barcelona style of football imetokea kwenye from Ajax team of 1960s and 1970s.

His achievements
Manager[edit]
Ajax[12]
Barcelona[12]
Netherlands[12]
Other
Rinus Michels - Wikipedia

Total Football: - What it required was for every player to be comfortable on the ball. Defenders attacked, attackers defended and possession was king. Flexible, Fluid and total domination of opposition.

Both as a player and as a trainer there is nobody who taught me as much as him. I will miss Rinus Michels. ... I always greatly admired his leadership." quote from Johan Cruyff.

But they way Brazil play this kind of football in 1950s and 1960s but in Europe it was Ajax and Holland who perfected this style and later Barcelona and Spain.

Pep Guardiola follows Cruyff ideas ambazo zilitengeneza Barcelona greatest team. Alisema hivi kuhusu Cruyff: - “Without him I wouldn’t be here. I know for sure this is why I am, because of what he taught us".

“He was the most influential person in football history. He changed not one club. He changed two clubs – as a player and a coach. It’s impossible to find another guy like this. OK, he did it at Ajax and they won the European Cup when Michels was there – but the player was Johan.

After that he was a coach there and then he came to Barcelona. It was a big club but it didn’t have a specific football culture. We had one Argentina coach who played an Argentinian style, then came a German coach who played a German style. But then Johan arrived and he said: ‘Guys, now we play this way.’

Pep Guardiola: ‘I would not be here without Johan Cruyff. He was unique’

Kwayiho inaenda kama hivi Rinus - Cruyff- Van de Gaal Frank Rijkaard - Guardiola etc. Ajax -Holland - Barcelona - Spain. Sasa hivi Germany and
Bayern Munich pia wanacheza the same way.
LVG ni father of modern FOOTBALL, style yake sio kama ya kina Rinus na cryuff, japo wengi wanawafananisha. Angalia interview nyingi za Cryuff ana mcriticise LVG kwa style yake na anasema haipendi. Pia LVG aliondoka Barcelona sababu alitaka kuanzisha culture yake na walikuwa wakimpinga sana, kama mfumo wake ni sawa na uliozoeleka barca wasingempinga
Louis van Gaal - Wikipedia

LVG ana hadi long balls (Fellaini)

LVG yeye ni Tactical zaidi sio pasi tu, kipindi cha man U tuliona 3-5-2, kisha baadae ikaja 4-4-2 diamond, alivyomdrop di maria ikaja 4-1-4-1 kisha msimu wa mwisho 4-2-3-1, mzee wa philosophy kila timu ana mfumo wake.

huyu jamaa hata timu iwe mbovu vipi na wachezaji wamekaa muda mfupi anaweza fanya wonders, uholanzi hii ilioshindwa fuzu Euro na world cup jamaa aliwapeleka nusu, beki martin Indi, na vlaar. msimu wa mwisho Man U alikuwa anaokota tu academy, kina CBJ, Rashford, Mc Nair, TFM, etc na walikuwa wanafanya vizuri kuliko watu wazima.

wakati mifumo ya kina Cryuff na pep inataka wachezaji wazuri wanaoweza ku adapt mfumo,
 
Kwa wapenzi wa soka wa zamani tukumbushane majina ya wachezaji wa kikosi hiki
football-european-championships-amsterdam-arena-holland-holland-1-v-picture-id78960763
Van de sir jaap stam edgar davids patrick kluivert
 
Huwezi kuiweka kando club ya ajax Amsterdam na mafanikio ya timu au kung'ara kwa the orange maana vipaji lukuki vimepita hapo toka mkongwe johan cruffy mpaka blind baba na mwana Kluivert mwanae Justin yupo pale mapacha familia ya de Boer aah pana mdachi ila mkongo kwa kuzaliwa kizito "kiki "musampa wamepita hapo achilia mbali wanaigeria watatu George finidi nwanko kanu na tijan babangida wamepata kikiwakilisha kikosi cha ajax. Pana waqt huwaza miongoni mwa timu bora miaka ya nyuma the orange ilikuwa inatamba ila sijui walikuwa na gundu (jokes )hawa kina suarez ibrahomavic walikuta zama za ajax kama zimekwisha vile.
 
Huwezi kuiweka kando club ya ajax Amsterdam na mafanikio ya timu au kung'ara kwa the orange maana vipaji lukuki vimepita hapo toka mkongwe johan cruffy mpaka blind baba na mwana Kluivert mwanae Justin yupo pale mapacha familia ya de Boer aah pana mdachi ila mkongo kwa kuzaliwa kizito "kiki "musampa wamepita hapo achilia mbali wanaigeria watatu George finidi nwanko kanu na tijan babangida wamepata kikiwakilisha kikosi cha ajax. Pana waqt huwaza miongoni mwa timu bora miaka ya nyuma the orange ilikuwa inatamba ila sijui walikuwa na gundu (jokes )hawa kina suarez ibrahomavic walikuta zama za ajax kama zimekwisha vile.
Asante kwa mchango murua kabisa
 
Majeraha kwenye soka ni kitu kibaya kinafanya tusione vipaji vilivyotukuka vya baadhi ya watu.. hebu fikiria cr7 au messi wangekuwa pancha km reus, tusingeona ubora wao, ni km vile kifo, fikiria wacko jacko angekufa na miaka mitano, tusingefaidi vibao vikali, bob je!!?

Majeruh aisee yanatunyima raha kiukweli..
Tupac je?
 
Mkuu jamaa walikuwa na kikosi kizuri hawakuwa na bahati.

Rejea Brazil ya kombe la dunia mwaka 1982, ni moja kati ya vikosi bora vya wakati wote lakini hawakutwaa taji lolote licha kutandaza soka la hali ya juu!

Yes. Mpira ni bahati pia. Hawa jamaa walikua fit karibu kila mwaka lakini 'mungu wa bahati' hakuwa kwenye ardhi yao
 
Mimi nasemaga Uhalanzi ni Brazil ya ulaya, haijawahi kukaukiwa vipaji tangu soka linaanzishwa!

Huwa wanatoaga majembe kila zama, tangu enzi za Cryfu,Rud guilt, van basteen,Denis Berkamp,Overmars,Kluivert,Robben.

Sema nayo ni ill-fate timu haijawahi kuwa na bahati na Hizi zama za akina Depay ndio wamefulia kabisa wamekosa mpaka EURO iliyokuwa na timu za ajabu kama New Zealand
 
genious ni Huyu
Louis-Van-Gaal.jpg


kakitengeneza yeye hicho kikosi,

alivyotoka hapo akaenda kutengeneza spain,

alivyotoka hapo akatengeneza kidogo kwao kisha akamalizia kutengeneza ujerumani.
Huyu Mzee heshima yake ilichafuka alivyokubali kuifundisha man u halafu akaanza kulazimisha mpira wa kidutch
 
Mimi nasemaga Uhalanzi ni Brazil ya ulaya, haijawahi kukaukiwa vipaji tangu soka linaanzishwa!

Huwa wanatoaga majembe kila zama, tangu enzi za Cryfu,Rud guilt, van basteen,Denis Berkamp,Overmars,Kluivert,Robben.

Sema nayo ni ill-fate timu haijawahi kuwa na bahati na Hizi zama za akina Depay ndio wamefulia kabisa wamekosa mpaka EURO iliyokuwa na timu za ajabu kama New Zealand
Kwa kipindi hicho ulicho ainisha kuanzia johan cruffy mpaka kina Kluivert naweza kukuunga mkono ila baada ya hapo wamekuwa wakipata watu wawili watatu tu mfano kipindi cha kina van perse akawepo na wisley pamoja na van da vart basi sasa kwa mtiririko huo huwezi kusema kuwa wana gundu au nuksi lakini kipindi kile unakuta pana wachezaji zaidi ya saba watamu Kluivert pale seedorf hapa davida kule raizger pale winter kule blind hapo winston bogade yaani ilikuwa una uhakika wa kufika mwisho na wakotolewa ndio unasema wana nuksi.
 
Huyu Mzee heshima yake ilichafuka alivyokubali kuifundisha man u halafu akaanza kulazimisha mpira wa kidutch
hata Man U mkuu alikuwa akidrop mastaa Timu inashinda. Nakumbuka msimu wa kwanza mwishoni aliwadrop kina Falcao, RVP, Di maria na wengineo timu akawaeka kina young, Fellaini, Herrera na wengine wasio na Ego watu wakasema Timu haiendi hata UEFA mechi zimebaki kama 8 na ratiba kuna spurs, liverpool na Man city mfulululizo. lakini akawapiga wote tena goli 3 kupanda,

Hata mwisho wa Career yake walipoanza kucheza kina Rashford, Lingard alivyopona, martial na watoto wengine timu ilikuwa inacheza vizuri kuliko wakicheza watu wazima kina Rooney.
 
hata Man U mkuu alikuwa akidrop mastaa Timu inashinda. Nakumbuka msimu wa kwanza mwishoni aliwadrop kina Falcao, RVP, Di maria na wengineo timu akawaeka kina young, Fellaini, Herrera na wengine wasio na Ego watu wakasema Timu haiendi hata UEFA mechi zimebaki kama 8 na ratiba kuna spurs, liverpool na Man city mfulululizo. lakini akawapiga wote tena goli 3 kupanda,

Hata mwisho wa Career yake walipoanza kucheza kina Rashford, Lingard alivyopona, martial na watoto wengine timu ilikuwa inacheza vizuri kuliko wakicheza watu wazima kina Rooney.

Unajua ni vigumu sana kumbadilisha watu kama falcao au dimaria kucheza mpira aliokuwa ameuzoea na kumpeleka kwenye mpira wa kidutch! Hao akina Lingard na Herrera ilikuwa ni rahisi kucheza kwa kufuata maelekezo ya Van gal sababu ya uchanga na upendeleo wa ghafla aliowapa na ndio maana wakafanya vizuri. Pamoja na hivyo alivyotoka nje ya falsafa ya soka LA man u ndio kulimfanya asidumu
 
Back
Top Bottom