Unaionaje na kuitafsiri falsafa ya Rais Samia Suluhu Hassan ya 'hawa ni chawa wangu?

Unaionaje na kuitafsiri falsafa ya Rais Samia Suluhu Hassan ya 'hawa ni chawa wangu?

Chawa ni viumbe wachafu na wanyonyaji damu. Awafugaye lazima awe mchafu. Je, nini busara ya falsafa Rais Samia kusema hawa ni chawa wangu hasa ikizingatiwa kuwa ni m

Ninawaza kwamba neno Chawa hapa halijatumika katika dhana ya mdudu. Kama vile kusema mchizi wangu ambavyo kwa mazingira ya kawaida yasiyo rasmi linatumika kama mtu wa karibu mnaeivana.so hapa chawa limetumika kama mtu wangu ambaye ananifeed taarifa fulani.lkn pia ananufaika na uchawa huo.win win situation
 
Yeye ni mzogo kwa Maana ingine, tusubiri funza tu maana harufu ishamuumbua.
 
Chawa ni viumbe wachafu na wanyonyaji damu. Awafugaye lazima awe mchafu. Je, nini busara ya falsafa Rais Samia kusema hawa ni chawa wangu hasa ikizingatiwa kuwa ni mbeba maono?
Maana amezungukwa na watu ambao hawana akili timamu kama Lucas Mwashambwa
 
Back
Top Bottom