Unaishangaa TFF kwa viporo VPL? Chukua hii

Unaishangaa TFF kwa viporo VPL? Chukua hii

Mkuu ni kwamba hujui hiyo ilitokana na mataifa hayo kukumbwa na janga la corona?
Ligi yao ilianza mwezi wa 11,ya kwetu ikaanza mwezi wa 10 na bado tulipisha maombolezo ya wiki 5
 
Hawa ni wale wachambuzi maandazi ambao ndio wanasikilizwa sana.

Kuna jamaa moja linaitwa Angetile Hosea lilikuwa linalaumu kwa machungu sana TFF kuwa imefanya vile kuibeba Simba.
Ila wakati msiba wa Magu unatokea na ligi kusimama karibia mwezi mzima,hatukuwahi kuwasikia wakiomba TFF iachane na maombolezo yaliyoyangazwa na serikali wapange mechi.

Kifupi hawa watu ni wanafiki na kilichowasaidia wasiwe vigagula ni hiyo elimu kidogo waliyo nayo.Ila typically wana tabia za kishamba sana licha ya wengi kuajiriwa kwenye vyombo vikubwa kama clouds
Tena huyo angetile si amewahi kuwa katibu wa Tff
 
Back
Top Bottom