Huyo Jose Mtambo anakipaji cha kuimba sema tatizo mlevi sanaJose Mtambo na Z anto muda wote Jose utamkuta anayumba kwa Ulevi, Z anto anauza Juice Ya MUA
hilo ndio tatizo la Jose, anachokifanya kwenye sanaa ni kikubwa kuliko muonekano wakeHuyo Jose Mtambo anakipaji cha kuimba sema tatizo mlevi sana
Yap... home boyKumbe we ni jirani yangu kabisa
sikai chanika, labda atakuwa na nyumba nyingine huko maana hata huku napokaa nilimuonaga siku 1 ndipo wadau wakaanza kuniambia mambo yake ya ajabu anayofanyagaKumbe unaishi Chanika?
Huyu jamaa bwana,kafunga ndoa juzi tu na nilienda kwenye harusi yake.
Anaishi Chanika walikojenga na mkewe.sikai chanika, labda atakuwa na nyumba nyingine huko maana hata huku napokaa nilimuonaga siku 1 ndipo wadau wakaanza kuniambia mambo yake ya ajabu anayofanyaga
Mkuu huyo jamaa niaje tena huwa nazikubari sana ngoma zake?Dazzy baba...
Hali ni tete wadau
Duh qweli kuwa dar ni mzigo. Kukaa jiran na msanii na 3G? Au hata 3G ni msanii?Mtoa mada hakusema kuhusu kuchunguza maisha ya mtu bali aliuliza kukaa karibu na msanii. Wa mikoni kuna mambo yanawapita sana hamjui tuu kwanza mkoni 3G yenyewe ni shida atamjulia wapi msanii?
Msuba na kilaji vinamtesa sana... Kawa kachaa sanaMkuu huyo jamaa niaje tena huwa nazikubari sana ngoma zake?
huyo ni msanii wa kitu gani?james delicious mvuto
diamond inabidi aishi masakiDiamond
Mbuzi kafia kwa muuza supu hahahaaa