Unaishi karibu na msanii gani kitaa chako?

Mm naishi karibu kabisa na aliyekuwa waziri wa ujenzi miezi kumi na mbili iliyopita
 
huyu hapa
 
Mimi nipo mkoani,
Nilikua naishi jirani na Malingo (jamaa furani hivi anaimba nyimbo za kijita) lkn naye alikimbilia huko dar sijui huko dar paliwafanyaje wasanii wetu!!
Hivyo mpaka sasa sina jirani anayejihusisha na sanaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…