mwanyaluke
JF-Expert Member
- Jan 22, 2015
- 704
- 2,435
Nimezaliwa katika mtaa ambao kwa sasa naweza ita ni uswahilini, pamoja na wengi kuondoka na kujichanganya kwingine, mimi narudi home karibu kila wiki kwa sababu home zipo biashara zinazonipeleka, pamoja na wengine kuhama bado wapo wenyeji wengi sana wanaoshi hapo mtaani kwetu,.........
.........
Moja ya changamoto ni ile imani ya uliowacha home wanamini umetoboa na maisha umeyapatia (ukweli sijatoboa maisha ni magumu sana) wao homies wakikuona tu ni vizinga na kuomba hela hali hii inaboa sana(kifupi bado sijapata hela isiyokuwa na budget so nikitoa buku nimeharibu hesabu, nimejaribu mbinu nyingi imeshindikana sasa naishi kwa kujificha ficha tu.
Ukitokea msiba au tukio la kijamii huwa ni siku ya kuombwa pesa tu, bar huko ni shida utaombwa bia ukome, mara upigiwe simu nimekamatwa kituo cha polisi, mara wakualike kwenye sherehe flan hivi michango kibao nk. Na kumbuka hawa ni homies ndio nikifa watanizika, hawa ndio yakitokea matazizo nyumbani wanashiriki, ndio wananipa deal nyingi, je wewe unaishije nao?
.........
Moja ya changamoto ni ile imani ya uliowacha home wanamini umetoboa na maisha umeyapatia (ukweli sijatoboa maisha ni magumu sana) wao homies wakikuona tu ni vizinga na kuomba hela hali hii inaboa sana(kifupi bado sijapata hela isiyokuwa na budget so nikitoa buku nimeharibu hesabu, nimejaribu mbinu nyingi imeshindikana sasa naishi kwa kujificha ficha tu.
Ukitokea msiba au tukio la kijamii huwa ni siku ya kuombwa pesa tu, bar huko ni shida utaombwa bia ukome, mara upigiwe simu nimekamatwa kituo cha polisi, mara wakualike kwenye sherehe flan hivi michango kibao nk. Na kumbuka hawa ni homies ndio nikifa watanizika, hawa ndio yakitokea matazizo nyumbani wanashiriki, ndio wananipa deal nyingi, je wewe unaishije nao?