Unaishi vipi na watu wa mtaani kwenu ulikozaliwa na kuishi huko

Unaishi vipi na watu wa mtaani kwenu ulikozaliwa na kuishi huko

mwanyaluke

JF-Expert Member
Joined
Jan 22, 2015
Posts
704
Reaction score
2,435
Nimezaliwa katika mtaa ambao kwa sasa naweza ita ni uswahilini, pamoja na wengi kuondoka na kujichanganya kwingine, mimi narudi home karibu kila wiki kwa sababu home zipo biashara zinazonipeleka, pamoja na wengine kuhama bado wapo wenyeji wengi sana wanaoshi hapo mtaani kwetu,.........
.........

Moja ya changamoto ni ile imani ya uliowacha home wanamini umetoboa na maisha umeyapatia (ukweli sijatoboa maisha ni magumu sana) wao homies wakikuona tu ni vizinga na kuomba hela hali hii inaboa sana(kifupi bado sijapata hela isiyokuwa na budget so nikitoa buku nimeharibu hesabu, nimejaribu mbinu nyingi imeshindikana sasa naishi kwa kujificha ficha tu.

Ukitokea msiba au tukio la kijamii huwa ni siku ya kuombwa pesa tu, bar huko ni shida utaombwa bia ukome, mara upigiwe simu nimekamatwa kituo cha polisi, mara wakualike kwenye sherehe flan hivi michango kibao nk. Na kumbuka hawa ni homies ndio nikifa watanizika, hawa ndio yakitokea matazizo nyumbani wanashiriki, ndio wananipa deal nyingi, je wewe unaishije nao?
 
Mimi nimezaliwa na kukulia Keko machungwa, masela nilokuwa nao 70% wamepukutika wameamia walipojenga wazazi wao kama nilivyo mimi mzee alivyotuchukuliza na kuhamia kwenye mjengo wetu, nakumbuka nilishawahi rudi mtaa wangu wa milembe kuwapa hai nikakabwa wakasepa na A10s toka hapo sikurudi.
 
Mi nimezaliwa nakukulia keko machungwa masela nilokuwa nao 70% wamepukutika wameamia walipojenga wazazi wao kama nilivyomimi mzee alivyotuchukuliza nakuami kwenye mjengo wetu nakumbuka nilishawai ludi mtaa wangu wa milembe kuwapa hai nikakabwa wakasepa na A10s toka apo skuludi
Zamani nikisikia Keko Machungwa nikajua huko kuna machungwa mengi kuliko Tanga.
 
Nimezaliwa katika mtaa ambao kwa sasa naweza ita ni uswahilini, pamoja na wengi kuondoka na kujichanganya kwingine, mimi narudi home karibu kila wiki kwa sababu home zipo biashara zinazonipeleka , pamoja na wengine kuhama bado wapo wenyeji wengi sana wanaoshi hapo mtaani kwetu,.........


.
.........


. Moja ya changamoto ni ile imani ya uliowacha home wanamini umetoboa na maisha umeyapatia ( ukweli sijatoboa maisha ni magumu sana, ) wao homies wakikuona tu ni vizinga na kuomba hela hali hii inaboa sana( kifupi bado sijapata hela isiyokuwa na budget so nikitoa buku nimeharibu hesabu ,nimejaribu mbinu nyingi imeshindikana sasa naishi kwa kujificha ficha tu , ukitokea msiba au tukio la kijamii huwa ni siku ya kuombwa pesa tu, ,,,,,,,,,,,,,,,,,,, , , , ,,bar huko ni shida utaombwa bia ukome, mara upigiwe simu nimekamatwa kituo cha polisi, mara wakuarike kwenye sherehe flan hivi michango kibao nk , na kumbuka hawa ni homies ndio nikifa watanizika, hawa ndio yakitokea matazizo nyumban wanashiriki,, ndio wananipa deal nyingi , je wewe unaishije nao
Mimi najikausha tuu!
 
Naitwa carvin kama kunaanae jua kuhusu ndoa na mtu wa nje ya Tanzania na namna mke anaweza kupata vibali vya tanzania
 
Zamani nikisikia keko machungwa nikajua huko kuna machungwa mengi kuliko Tanga.
Zamani ilimaanisha hivyo. Mfano mikoroshini ni kweli kulikuwa na mikorosho mingi. Nilishi yombo wakati bado kijiji, utoto wetu ilikuwa ni kuchoma na kukaanga korosho tu. Mnaoishi yombo mikoroshini hamuwezi elewa hilo. Enzi hizo daladala ni landrova, gar zinaitwa ekalosi zina mabehewa mawili yameungana.
Inawezekana machungwa yalikuwepo. Uliza vizuri.
 
Wanakupa deal nyingi? Zipi sasa kama hazitengenezi pesa?
 
Nimezaliwa katika mtaa ambao kwa sasa naweza ita ni uswahilini, pamoja na wengi kuondoka na kujichanganya kwingine, mimi narudi home karibu kila wiki kwa sababu home zipo biashara zinazonipeleka , pamoja na wengine kuhama bado wapo wenyeji wengi sana wanaoshi hapo mtaani kwetu,.........


.
.........


. Moja ya changamoto ni ile imani ya uliowacha home wanamini umetoboa na maisha umeyapatia ( ukweli sijatoboa maisha ni magumu sana, ) wao homies wakikuona tu ni vizinga na kuomba hela hali hii inaboa sana( kifupi bado sijapata hela isiyokuwa na budget so nikitoa buku nimeharibu hesabu ,nimejaribu mbinu nyingi imeshindikana sasa naishi kwa kujificha ficha tu , ukitokea msiba au tukio la kijamii huwa ni siku ya kuombwa pesa tu, ,,,,,,,,,,,,,,,,,,, , , , ,,bar huko ni shida utaombwa bia ukome, mara upigiwe simu nimekamatwa kituo cha polisi, mara wakuarike kwenye sherehe flan hivi michango kibao nk , na kumbuka hawa ni homies ndio nikifa watanizika, hawa ndio yakitokea matazizo nyumban wanashiriki,, ndio wananipa deal nyingi , je wewe unaishije nao
Kama wanakupa deal nyingi Yaa urudushe fadhila
 
Back
Top Bottom