Dr. Zaganza
JF-Expert Member
- Jul 15, 2014
- 1,414
- 2,181
Karibuni
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yes, am part of teamKumbe uzi huu ni wako.? [emoji848]
Una kitabu cha SIKUNYONGWA, Ndani yumo KABWE MAKANIKA, Mzee Hegal Kaarl Uroose, Bi. Halima na wengineo?Tunu zetu Library tumekuwa kwa muda mrefu tukizienzi na kuboresha kazi za wakongwe wa fasihi ya kiswahili kwa manufaa ya kizazi kijacho. Baaada ya kuona maktaba nyingi hazina vitabu hivi, Tumeingia chimbo kuvisaka, kuvipitia na kuviweka mfumo wa nakala rahisi (softcopy) unayoweza kuipata kwa whatsapp au email.
Haikuwa kazi rahisi; hivyo utachangia gharama kidogo, isiyozidi elf tano kwa seti ya vitabu vinne. Piga 0713039875 kuwahi kuweka oda. Baadhi ya kazi zilizokuwa tayari ni hizi hapa chini.
View attachment 1506265View attachment 1506267View attachment 1506268
Unacho cha "Hekaya Za Abunuwasi"? JAMII BORATunu zetu Library tumekuwa kwa muda mrefu tukizienzi na kuboresha kazi za wakongwe wa fasihi ya kiswahili kwa manufaa ya kizazi kijacho. Baaada ya kuona maktaba nyingi hazina vitabu hivi, Tumeingia chimbo kuvisaka, kuvipitia na kuviweka mfumo wa nakala rahisi (softcopy) unayoweza kuipata kwa whatsapp au email.
Haikuwa kazi rahisi; hivyo utachangia gharama kidogo, isiyozidi elf tano kwa seti ya vitabu vinne. Piga 0713039875 kuwahi kuweka oda. Baadhi ya kazi zilizokuwa tayari ni hizi hapa chini.
View attachment 1506265View attachment 1506267View attachment 1506268
Nilidhani ni hardcopy mkuu??Tumeeleza hapo Juu, unalipia kwa tigopesa ,unatumiwa kwa WhatsApp na email kwa pamoja
Unachagua mwenyewe, karibuNikilipa nne za Kwanza nazozipata ni Zipi?
Kwa Sasa hatuna, ila tutakipataUna kitabu cha SIKUNYONGWA, Ndani yumo KABWE MAKANIKA, Mzee Hegal Kaarl Uroose, Bi. Halima na wengineo?
Ipo humu JF isearch, ukikosa tuwasiliane kwa 0713039875Me nahitaji ADILI NA NDUGUZE ya shaaban robert
Tunacho, huyo raia wa badgdad,tuchekiUnacho cha "Hekaya Za Abunuwasi"? JAMII BORA
Rahisi tu mkuu, nakutumia softcopy unaprint upendavyo na cover lakeNilidhani ni hardcopy mkuu??
Nahitaji hardcopy, uwezekano wa kupatikana ni upi?
Ntafanya hivyo ingawa vingi mno, vya ma legend wa KiswahiliIngekuwa vyema ungeviorodhesha kwa maandishi ulivyonavyo ili iwe rahisi kuchagua wanavyohitaji.
Una Pili Pilipili
Tumeeleza hapo Juu, unalipia kwa tigopesa ,unatumiwa kwa WhatsApp na email kwa pamoja
Mkuu hardcopy au softcopy...?Ninacho hiki..
Mkuu hardcopy au softcopy...?
Aisee hiki kitabu kilikuwa babkubwa, mojawapo ya riwaya nilizotokea kuzipenda sana...Hard copy.. Pili mtoto wa pilipili