Inachonifurahisha huonyesha muda niliotumia kutembea na nguvu niliotumia, muda niliolala mpaka kuamkaHabari za wakati huu wanamichezo. Naamini wengi wenu au baadhi yenu humu jukwaani mnatumia samsung phones. Sasa basi samsung wana application inaitwa samsung health
View attachment 1185834
Kazi ya hii app ni ku track your fitness, weight, diet, food & sleep. Hii app huweza kurecord na kuainisha shughuli zako za kila siku na mazoea kwa lengo la kukusaidia kukeep health lifestyle.
Whether you walk or run, hike or bike, play indoor or outdoor sports, you can add and track the various physical exercises and activities in a single step using the various built-in trackers.
Mimi napenda kufamya mazoezi ya kukimbia (jogging) asubuh kabla ya kwenda kazini. Nimekuwa nikiifurahia sana kwa sababu inaonesha km nilizokimbia na kutrack njia niliyopita kwa kutumia GPS in high accuracy
View attachment 1185835
pia huonesha speed niliyokimbia na kuonesha elevation na kuchora graph.
Naamini kuna wengine mnaitumia pia hii app. Naomba uweze kushirikisha uzoefu wako katika kuitumia hii app.
Japo kuna baadhi ya maneno kwenye workout details siyaelewi maana zake. Naamimini wataalamu mtanisaidi. Maneno hayo ni
Avg. Pace
Avg. Cadence
Nawasilisha
View attachment 1185836
View attachment 1185837
Hii ndo best kwangu so far, naamini mwaka huu ntafika hata 15kms in less than 100mins View attachment 1242402
""E="Ollachuga Oc, post: 32553109, member: 373935"]
Kwenye tecno itafaa?
Sometimes inazingua maana inarecord matembezi yako ya siku nzima na ikakupigia calculation vizuri tu...ishu ukiifuatilia vizuri, utakuta kipindi unaenda zako kupanda daladala, nayo inahesabu na itakuwambia kuwa umekimbia kwa speed ya 70km/hr kwa muda wa masaa 24.Habari za wakati huu wanamichezo. Naamini wengi wenu au baadhi yenu humu jukwaani mnatumia samsung phones. Sasa basi samsung wana application inaitwa samsung health
View attachment 1185834
Kazi ya hii app ni ku track your fitness, weight, diet, food & sleep. Hii app huweza kurecord na kuainisha shughuli zako za kila siku na mazoea kwa lengo la kukusaidia kukeep health lifestyle.
Whether you walk or run, hike or bike, play indoor or outdoor sports, you can add and track the various physical exercises and activities in a single step using the various built-in trackers.
Mimi napenda kufamya mazoezi ya kukimbia (jogging) asubuh kabla ya kwenda kazini. Nimekuwa nikiifurahia sana kwa sababu inaonesha km nilizokimbia na kutrack njia niliyopita kwa kutumia GPS in high accuracy
View attachment 1185835
pia huonesha speed niliyokimbia na kuonesha elevation na kuchora graph.
Naamini kuna wengine mnaitumia pia hii app. Naomba uweze kushirikisha uzoefu wako katika kuitumia hii app.
Japo kuna baadhi ya maneno kwenye workout details siyaelewi maana zake. Naamimini wataalamu mtanisaidi. Maneno hayo ni
Avg. Pace
Avg. Cadence
Nawasilisha
View attachment 1185836
View attachment 1185837
Nadhani issue ni sensors za simu hapo ndo issue, mimi nina Samsung 2, kwenye daladala haijawahi hesabu yoyote, ila kwenye bajaj S6 inahesabu, Note9 haihesabu, nadhani kwa sababu ya maboresho ya sensors.Samsung Health inaniboa tu inavyorecord uongo kwenye daily steps. Hata ukipanda gari yenyewe inaonyesha ulitembea na calories zilizounguzwa zinaonyesha.
Kwenye kuonyesha muda wa kulala na kuamka wametisha sana hapo
Nadhani issue ni sensors za simu hapo ndo issue, mimi nina Samsung 2, kwenye daladala haijawahi hesabu yoyote, ila kwenye bajaj S6 inahesabu, Note9 haihesabu, nadhani kwa sababu ya maboresho ya sensors.
Mapambano yanaendelea...