Unaitumiaje samsung health app katika kuweka mwili wako vizuri? (Physically fit)

Unaitumiaje samsung health app katika kuweka mwili wako vizuri? (Physically fit)

Hiyo Avarage Pace ni wastani wa Muda (Dakika) unazoweza kukimbia kumaliza 1Km Katika mzunguko huo wa 6Km uliofanya umetumia wastani wa Dakika 7 kwa 1Km... Kumbuka ya Kipchoge ni 2:53 Minutes anakua kamaliza 1Km huyu nahisi ni [emoji89]

App nyingine nzuri ya kutumia ni Runtactis ya Adidas ndio ninayotumia


Running raha sana.
 
Hii ni Runtactis
Screenshot_20191023-212432.jpeg
 
In
Habari za wakati huu wanamichezo. Naamini wengi wenu au baadhi yenu humu jukwaani mnatumia samsung phones. Sasa basi samsung wana application inaitwa samsung health
View attachment 1185834

Kazi ya hii app ni ku track your fitness, weight, diet, food & sleep. Hii app huweza kurecord na kuainisha shughuli zako za kila siku na mazoea kwa lengo la kukusaidia kukeep health lifestyle.

Whether you walk or run, hike or bike, play indoor or outdoor sports, you can add and track the various physical exercises and activities in a single step using the various built-in trackers.

Mimi napenda kufamya mazoezi ya kukimbia (jogging) asubuh kabla ya kwenda kazini. Nimekuwa nikiifurahia sana kwa sababu inaonesha km nilizokimbia na kutrack njia niliyopita kwa kutumia GPS in high accuracy
View attachment 1185835
pia huonesha speed niliyokimbia na kuonesha elevation na kuchora graph.

Naamini kuna wengine mnaitumia pia hii app. Naomba uweze kushirikisha uzoefu wako katika kuitumia hii app.

Japo kuna baadhi ya maneno kwenye workout details siyaelewi maana zake. Naamimini wataalamu mtanisaidi. Maneno hayo ni

Avg. Pace
Avg. Cadence

Nawasilisha

View attachment 1185836

View attachment 1185837
Inachonifurahisha huonyesha muda niliotumia kutembea na nguvu niliotumia, muda niliolala mpaka kuamka
 
Hii ndo best kwangu so far, naamini mwaka huu ntafika hata 15kms in less than 100mins
IMG-20191023-WA0018.jpg
 

Attachments

  • IMG-20191023-WA0018.jpg
    IMG-20191023-WA0018.jpg
    29.4 KB · Views: 2
"E="Ollachuga Oc, post: 32553109, member: 373935"]
Kwenye tecno itafaa?
[/QUOTE]"
Nadhani hii ni kwa ajili ya simu tu, sisi wenye vifaa vya mawasiliano kama tecno bado wametutenga maana nimetafuta hapa sijaona.
 
Techno tumieni apps nyingine tu
"E="Ollachuga Oc, post: 32553109, member: 373935"]
Kwenye tecno itafaa?
"
Nadhani hii ni kwa ajili ya simu tu, sisi wenye vifaa vya mawasiliano kama tecno bado wametutenga maana nimetafuta hapa sijaona.[/QUOTE]
 
Samsung Health inaniboa tu inavyorecord uongo kwenye daily steps. Hata ukipanda gari yenyewe inaonyesha ulitembea na calories zilizounguzwa zinaonyesha.
Kwenye kuonyesha muda wa kulala na kuamka wametisha sana hapo
 
Habari za wakati huu wanamichezo. Naamini wengi wenu au baadhi yenu humu jukwaani mnatumia samsung phones. Sasa basi samsung wana application inaitwa samsung health
View attachment 1185834

Kazi ya hii app ni ku track your fitness, weight, diet, food & sleep. Hii app huweza kurecord na kuainisha shughuli zako za kila siku na mazoea kwa lengo la kukusaidia kukeep health lifestyle.

Whether you walk or run, hike or bike, play indoor or outdoor sports, you can add and track the various physical exercises and activities in a single step using the various built-in trackers.

Mimi napenda kufamya mazoezi ya kukimbia (jogging) asubuh kabla ya kwenda kazini. Nimekuwa nikiifurahia sana kwa sababu inaonesha km nilizokimbia na kutrack njia niliyopita kwa kutumia GPS in high accuracy
View attachment 1185835
pia huonesha speed niliyokimbia na kuonesha elevation na kuchora graph.

Naamini kuna wengine mnaitumia pia hii app. Naomba uweze kushirikisha uzoefu wako katika kuitumia hii app.

Japo kuna baadhi ya maneno kwenye workout details siyaelewi maana zake. Naamimini wataalamu mtanisaidi. Maneno hayo ni

Avg. Pace
Avg. Cadence

Nawasilisha

View attachment 1185836

View attachment 1185837
Sometimes inazingua maana inarecord matembezi yako ya siku nzima na ikakupigia calculation vizuri tu...ishu ukiifuatilia vizuri, utakuta kipindi unaenda zako kupanda daladala, nayo inahesabu na itakuwambia kuwa umekimbia kwa speed ya 70km/hr kwa muda wa masaa 24.
 
Samsung Health inaniboa tu inavyorecord uongo kwenye daily steps. Hata ukipanda gari yenyewe inaonyesha ulitembea na calories zilizounguzwa zinaonyesha.
Kwenye kuonyesha muda wa kulala na kuamka wametisha sana hapo
Nadhani issue ni sensors za simu hapo ndo issue, mimi nina Samsung 2, kwenye daladala haijawahi hesabu yoyote, ila kwenye bajaj S6 inahesabu, Note9 haihesabu, nadhani kwa sababu ya maboresho ya sensors.
 
Nikiwa sehemu yoyote ile kama location iko on lazima isome. Inanikwaza sana
Nadhani issue ni sensors za simu hapo ndo issue, mimi nina Samsung 2, kwenye daladala haijawahi hesabu yoyote, ila kwenye bajaj S6 inahesabu, Note9 haihesabu, nadhani kwa sababu ya maboresho ya sensors.
 
Mm nahitaji kujua kama inaweza kupima kiwango cha sukari mwilini kwa usahihi. Nimejaribu kwa sumsung s6 nimeshindwa.
 
kuna app kwenye simu sinaga hata muda nazo naonaga zinanijazia tu simu
 
Back
Top Bottom