Unajenga? Tuna aina mpya ya vifaa vya ujenzi vinavyokupunguzia gharama za ujenzi na kukuokolea muda

Unajenga? Tuna aina mpya ya vifaa vya ujenzi vinavyokupunguzia gharama za ujenzi na kukuokolea muda

Kuezeka kwetu kwa aina ya kipekee. Dari pamoja na kipaa kwa kifaa kimoja muhimu .

Ubora wa hali ya juu kwa gharama nafuu...
 

Attachments

  • IMG-20220525-WA0059.jpg
    IMG-20220525-WA0059.jpg
    59 KB · Views: 86
  • IMG-20220525-WA0054.jpg
    IMG-20220525-WA0054.jpg
    37.6 KB · Views: 82
  • IMG-20220525-WA0053.jpg
    IMG-20220525-WA0053.jpg
    34.5 KB · Views: 78
  • IMG-20220525-WA0058.jpg
    IMG-20220525-WA0058.jpg
    61.3 KB · Views: 77
  • IMG-20220525-WA0056.jpg
    IMG-20220525-WA0056.jpg
    41.4 KB · Views: 86
  • IMG-20220525-WA0060.jpg
    IMG-20220525-WA0060.jpg
    60.6 KB · Views: 76
  • IMG-20220525-WA0059.jpg
    IMG-20220525-WA0059.jpg
    59 KB · Views: 85
GlenBlockAllBlocks-nw.png
Abraar Bricks Nyumba kwa wote. sasa tumekuketea Tofari zilizoenda shule. Hapo unazoziona ni half block, straight block na corner blocks ya kushoto na kulia. Hazihitaji kukatwa unapozijengea. Hazihitaji mortar (zinaji lock zenyewe) na pia hazihitaji plastering. Zinajitosheleza.

Tumempunguzia sana kazi fundi Maiko. Tazama picha zinazofata ujionee zaidi.

Abraar Bricks Nyumba kwa wote. Ubora wa hali ya juu kwa gharama nafuu.


Kwa marlezo zaidi. Piga simu au whatsapp kwa Abdul Ghafur +255625249605
 
GlenBlockConstruction-No-Water-Mark.png

Abraar Bricks Nyumba kwa wote. sasa tumekuketea Tofari zilizoenda shule. Hapo juu unaziona jinsi zinavyojenga. Hazihitaji kukatwa unapozijengea. Hazihitaji mortar, zinaji lock zenyewe pia hazihitaji plastering. Zinajitosheleza.

Tumempunguzia sana kazi fundi Maiko. Tazama picha zinazofata ujionee zaidi.

Abraar Bricks Nyumba kwa wote. Ubora wa hali ya juu kwa gharama nafuu.


Kwa marlezo zaidi. Piga simu au whatsapp kwa Abdul Ghafur +255625249605
 
View attachment 2240648
Abraar Bricks Nyumba kwa wote. sasa tumekuketea Tofari zilizoenda shule. Hapo juu unaziona jinsi zinavyojenga. Hazihitaji kukatwa unapozijengea. Hazihitaji mortar, zinaji lock zenyewe pia hazihitaji plastering. Zinajitosheleza.

Tumempunguzia sana kazi fundi Maiko. Tazama picha zinazofata ujionee zaidi.

Abraar Bricks Nyumba kwa wote. Ubora wa hali ya juu kwa gharama nafuu.


Kwa marlezo zaidi. Piga simu au whatsapp kwa Abdul Ghafur +255625249605
Hey Abdul this is just an art, do you have a photograph where you have actually built with this ssystem? Looks too good to be true.
 
Mkuu, naomba unikopeshe mifuko 400 ya sumenti ntakuwa nakulipa kidogo kidogo 😀😀😀
Vyema sana. Njoo site yetu tupo Mtaa wa Vitendo, kata ya Misugusugu, Kibaha mji. Mkoa wa Pwani. 50 Kilometers from Dar City Centre. Mobile 0625249605.

Njoo tuone tutakuwezesha vipi kujipatia cement uitakayo. Karibu sana.
 
Hey Abdul this is just an art, do you have a photograph where you have actually built with this ssystem? Looks too good to be true.
Hi. Yes we have photographs. Please see number 12 above. Soon we will post more photgraphs and video clips.

You can also come and expirience the technology physically, they are better physically than any photo.
 
Hi. Yes we have photographs. Please see number 12 above. Soon we will post more photgraphs and video clips.

You can also come and expirience the technology physically, they are better physically than any photo.
Thanks Abdul. My apologies, if you allow me, send me your photos and video clips and I will post them here.

Keep up the big work Abdul.
 
♻️♻️♻️♻️

Abraar Bricks Nyumba kwa wote

Inakuletea fursa kwenye darasa lake la kiwanda kidogo cha vifaa vya ujenzi.

Kunahitajika wanafunzi wa kuunda na uzalishaji wa vifaa vya ujenzi kwa vitendo (practical).

Kwa kuanzia tutafundishwa kuunda aina 8 mpaka 13 za vifaa vya ujenzi na ataependa kujiendelea atakua na fursa ya kuendelea kujifunza vifaa vingine aina 50 na pia kutakua na fursa ya kujiendeleza zaidi kwa kujifunza ujenzi.

Mafunzo yetu yote ni 95% kwa Vitendo (practical).

Kwa maelezo zaidi wasiliana na Abdul Ghafur 0625249605.

Tafadhali sambazia na wengine.
 
Hizo ni tofari za outer walls tu. Kila moja ni Shillingi 2,000.

Unafuu unakuja kuwa haitumii cement ya mota kujengea wala hazihitaji plaster ya cemnt. Touchups tu za skimming.

Kwa ujenzi wetu tukiezeka na Abraar waffle zetu. Unapata unafuu wa bati, mbao, gypsum board na unakuwa tayari na uwezo wa kuongeza nyumba nyingine juu, ghorofa moja. Gharama ya kuongeza nyumba juu kwa vifaa vyrt7vyetu ni ziada ya mimillion byingine 20 tu.

Estimated kwa msingi wa kina cha meter moja chini ya ardhi mpaka kuezeka nyumba ya around square neters 120 floor area ni TZS 30 Miilion. Estimations ni kwa kutumia vifaa vyetu kuanzia msingi mpaka kuezeka. Wewe utanunua chuma na kuhskikidha unatupatia maji ya ujenzi.

Hapo tunakujengea na jengo la vyoo viwili vya nje kwa kutumia round blocks zetu za kipekee bila ghsrama ya ziada.

Note: ikiwa utajenga kwenye maeneo yetu mtaa wa Vitendo, Misugusugu, Kibaha au Mduzi, kuelekea Boza Beach ukitokea Mlandizi utapata kiwanja cha 20 x 40 kwa gharama hizo hizo.


Unafuu mwengine ni kuwa hauhitaji kuwa na pesa zote mara moja. Kama kiwsnja ni chako tunaanza kukujengea kwa malipo ya taratibu taratibu bila riba bila hidden charges

Ramani za jengo na vibali vya ujenzi ni gharama zako.

Kama una maswali zaidi uliza tu hapa hapa au whatsapp 0625249605.

Programme yetu ya ujenzi inaitwa Abraar Bricks Nyumba kwa wote. Ni non profit programme.
Nimesoma kuwa umeandika ni 'Non profit programmes'. Kweli hiyo?
 
Back
Top Bottom