Abdul Ghafur
JF-Expert Member
- Sep 18, 2017
- 610
- 749
- Thread starter
-
- #41
Biashara nzuri sema huu uswahili wa wabongo kuitana inbox huwa ni dalili ya kutokujiamini.. kama ilitakiwa uandae hata profile ambayo inaelezea hizo ratio na gharama zake sio kusimulia watu kama mpira.Vifaa vya ujenzi ni ngumu sana kuwrka gharama zake kwani vinategemea mambo mengi. Kuna vigezo vingi sana kwemye kifaa aina moja tu ya ujenzi. Mfanob atios, quantities na kinatymika wapi. Yote hayo yana matter sana.
Mfano tuna hollow blocks za muonekano uleule lakini zimeundwa kwa ratios aina tano tofauti na zinategemea "additives" utazohitaji na wingi utaouhitaji.
Mfano ipo hollow block ya kujengea msingi tu. Hii instrgemea na sehemu unapojenga, kuna yenye additives za kuzuia unyevu kupanda ukutani. Na kuna zenye kuzuwia maji kabisa kuzirowesha. Pia zipo za juu ya ardhi lakini zina tofauti za kujengea chumba kinachohitaji usalama mkubwa wa kati au hakina uhitaji wa usalama.
Tukielewa unahitaji kujenga nini na wapi tunakupa bei ya bidhaa hiyo hata hapa hapa si lazima kwenda private.
Kuna wengine hawapendi nyumba zao zimejengwa kwa bidhaa zipi na vipi kwa ajili ya usalama zaidi.
Natumai nimeeleweka.
Asante.
Asante kwa ushauri. Hatuna ujuzi huo. Njoo tusaidieBiashara nzuri sema huu uswahili wa wabongo kuitana inbox huwa ni dalili ya kutokujiamini.. kama ilitakiwa uandae hata profile ambayo inaelezea hizo ratio na gharama zake sio kusimulia watu kama mpira.
Unavyokuwa serious na wateja wanakuwa serious.. au wewe target market yako ni ipi mkuu?
Sent from my SAMSUNG-SM-J327A using JamiiForums mobile app
kijana wa Jana Abdul ghafur Mohammed,Hii ni moja ya aina ya blocks zetu๐๐ฟ
3 steps stair case. Designed and under construction by Abraar Bricks Nyumba kwa Wote for Abraar Nursery School Computer Class.
for more info call Abdul Ghafur Mobile; +255625249605*
Hayo matundu si yanalamba sana cement na mchanga unaomwagikia humoKama unajenga au una plan kujenga au u fundi ujenzi au unataka kuongeza nafasi kwenye nyumba ya bati uliyonnayo sasa, wasiliana na na sisi kwa ushauri wa bure na kujionea aina mpya kabisa ya ujenzi unaokupunguzia sana gharama za ujenzi.
Mafundi wote ujenzi tunawapatia masomo ya bure kabisa kwa utumiaji wa bidhaa hizi mpya zenye ubora wa hali ya juu, zinazookoa muda na gharama za ujenzi. Masomo kuanzia siku moja mpaka wiki mbili, inategemea na aina za vifaa utazopendelea kujifunza.
Jenga nyumba isiyopandisha maji kwenye ukuta hata kama umeijenga bwawani. Tuna bidhaa tofauti za gharama nafuu zikiwemo tofari za zege zilizoundwa kwa viwango vya juu vya ubora, rasmi kwa ajili ya kujengea msingi wa nyumba. Tunakuokolea gharama kubwa za zege, tunakuokolea muda na kudhiti kabisa unyevu unaopanda ukutani.
Unangoja nini? Wasiliana na Abraar Bricks 625249605.
Pia tuna mafundi waliofundishwa rasmi kutengeneza vifaa madhubuti kwa viwango na wenye nidhamu ya kazi.
Matundu yapo upande mmoja tu yanapunguza sana gharama ya cement. Kuna namna yake ya kujenga, nitaweka picha baadae.Hayo matundu si yanalamba sana cement na mchanga unaomwagikia humo
Wa Alaikum Salaam.kijana wa Jana Abdul ghafur Mohammed,
Asalaam alaykum akhy!?
๐Matundu yapo upande mmoja tu yanapunguza sana gharama ya cement. Kuna namna yake ya kujenga, nitaweka picha baadae.
Pia hizo tundu zinapunguza sana gharama ya nishati ya kupooza (kwenye joto) au kupasha joto kwenye baridi) chumba (insulation).
Mzee kitu bila plaster maana yake hakina rangi,kitu kama hakina rangi ni sawa na shule za zamaniHizo ni tofari za outer walls tu. Kila moja ni Shillingi 2,000.
Unafuu unakuja kuwa haitumii cement ya mota kujengea wala hazihitaji plaster ya cemnt. Touchups tu za skimming.
Kwa ujenzi wetu tukiezeka na Abraar waffle zetu. Unapata unafuu wa bati, mbao, gypsum board na unakuwa tayari na uwezo wa kuongeza nyumba nyingine juu, ghorofa moja. Gharama ya kuongeza nyumba juu kwa vifaa vyrt7vyetu ni ziada ya mimillion byingine 20 tu.
Estimated kwa msingi wa kina cha meter moja chini ya ardhi mpaka kuezeka nyumba ya around square neters 120 floor area ni TZS 30 Miilion. Estimations ni kwa kutumia vifaa vyetu kuanzia msingi mpaka kuezeka. Wewe utanunua chuma na kuhskikidha unatupatia maji ya ujenzi.
Hapo tunakujengea na jengo la vyoo viwili vya nje kwa kutumia round blocks zetu za kipekee bila ghsrama ya ziada.
Note: ikiwa utajenga kwenye maeneo yetu mtaa wa Vitendo, Misugusugu, Kibaha au Mduzi, kuelekea Boza Beach ukitokea Mlandizi utapata kiwanja cha 20 x 40 kwa gharama hizo hizo.
Unafuu mwengine ni kuwa hauhitaji kuwa na pesa zote mara moja. Kama kiwsnja ni chako tunaanza kukujengea kwa malipo ya taratibu taratibu bila riba bila hidden charges
Ramani za jengo na vibali vya ujenzi ni gharama zako.
Kama una maswali zaidi uliza tu hapa hapa au whatsapp 0625249605.
Programme yetu ya ujenzi inaitwa Abraar Bricks Nyumba kwa wote. Ni non profit programme.
Hapana unaweza piga rangi upendayo na zipo zenye rangi tayari. Hizi ni hightech blocks. Jionee...Mzee kitu bila plaster maana yake hakina rangi,kitu kama hakina rangi ni sawa na shule za zamani
Alhamdulillah, mimi mzima wa afya.Wa Alaikum Salaam.
Hali yako?
tofali zisizopigwa plasta zipo za aina nyingi unafanya skimming na unapaka rangi uipendayo sawa na ukuta uliopigwa plasta, zinatengenezwa zikiwa na sura laini isiyo na mikwaruzo(smooth).Mzee kitu bila plaster maana yake hakina rangi,kitu kama hakina rangi ni sawa na shule za zamani
๐๐ฟ Ubunifu huo umetunukiwa Tuzo kutokea Uingereza.Abraar tunajivunia vifaa vyetu vyenye ubora wa hali ya juu kwa gharama nafuu.
View attachment 2261175
Tovuti bado, ndio tunatafuta mtu atufanyie. Tunauza jumla kwa order, tunaweza kufika mkoa wowote.Uko mkoa gani mkuu? Wewe unauza kwa ujumla ? Una tovuti ya intaneti ?
Tovuti bado haijawa tayariTovuti bado, ndio tunatafuta mtu atufanyie. Tunauza jumla kwa order, tunaweza kufika mkoa wowote.
Sisi tunaitwa Abraar Education Centre
Tuna madarasa ya Computer, English,Arabic, kuunda vifaa vya ujenzi na ujenzi wenyewe masonry). Abraar maana yake ni waja wema. Mobile No. 0656399856 au Whatsapp 0625249605 pia tuna madarasa mengine kadhaa ya fani mbali mbali na mengine yanayotarajiwa kuanzishwa hivi karibuni.
Tupo mtaa wa Vitendo, kata ya Misugusugu, wilaya ya Kibaha, mkoa wa pwani.
Stendi inaitwa Miyomboni Shule au Misugusugu Shule ya msingi. Ukitokea Morogoro tupo baada kidogo ya kupita Mlandizi.[emoji267][emoji267][emoji267][emoji267]
zinavutiaTovuti bado, ndio tunatafuta mtu atufanyie. Tunauza jumla kwa order, tunaweza kufika mkoa wowote.
Sisi tunaitwa Abraar Education Centre
Tuna madarasa ya Computer, English,Arabic, kuunda vifaa vya ujenzi na ujenzi wenyewe masonry). Abraar maana yake ni waja wema. Mobile No. 0656399856 au Whatsapp 0625249605 pia tuna madarasa mengine kadhaa ya fani mbali mbali na mengine yanayotarajiwa kuanzishwa hivi karibuni.
Tupo mtaa wa Vitendo, kata ya Misugusugu, wilaya ya Kibaha, mkoa wa pwani.
Stendi inaitwa Miyomboni Shule au Misugusugu Shule ya msingi. Ukitokea Morogoro tupo baada kidogo ya kupita Mlandizi.[emoji267][emoji267][emoji267][emoji267]
Hapa c nondo za kutosha zinaingia [emoji848]Kuezeka kwetu kwa aina ya kipekee. Dari pamoja na kipaa kwa kifaa kimoja muhimu .
Ubora wa hali ya juu kwa gharama nafuu...