Kuna watu wa ajabu sio siri ni wasumbufu. Jamaa flani huwa na tabia ya ajabu yaani yeye akienda garage na gari yake, anauliza kutatua tatizo fulani ni shingapi anaambiwa basi anasema okay fanyeni marekebisho alafu jamaa anakaa pembeni anaagiza bia na ile pesa ya ufundi kinachobaki ndo anawapa mafundi wakati walikubaliana bei tofauti.
Mafundi wakigoma anawatisha kuondoka na hiyo hela na gari wala haongezi anasema si mnakataa hii hela bana mi naenda yaani kirahisi.
Mfano tatizo ni kuziba pancha au kukaza na kubadili taili. Labda kaambiwa ni 20k anakunywa bia pale kinachobaki hapo ndo anawapa mafundi. Tabia mbaya.
Wengi wanaopata hasara na hasira ni wale wanaotoa huduma za malipo baada ya kazi hapa ukikutana na watu wa hivi ni tabu tu!
Inabidi muwe na mifumo mizuri ya malipo kwanza ndo huduma ifuate ikishindikana kutatua tatizo mnarudisha pesa kuliko kuisubiri.
Mafundi wakigoma anawatisha kuondoka na hiyo hela na gari wala haongezi anasema si mnakataa hii hela bana mi naenda yaani kirahisi.
Mfano tatizo ni kuziba pancha au kukaza na kubadili taili. Labda kaambiwa ni 20k anakunywa bia pale kinachobaki hapo ndo anawapa mafundi. Tabia mbaya.
Wengi wanaopata hasara na hasira ni wale wanaotoa huduma za malipo baada ya kazi hapa ukikutana na watu wa hivi ni tabu tu!
Inabidi muwe na mifumo mizuri ya malipo kwanza ndo huduma ifuate ikishindikana kutatua tatizo mnarudisha pesa kuliko kuisubiri.