Unajifunza nini kwenye picha hii?

Hapa ni rais jomo kenyata ,uhuru akiwa mdogo,rais mwaikibaki na rais arap moi
 
Nchi ya Wakabila.
Wakikuyu watatu na mkalenjin mmoja ambao wote wamefanikiwa kutawala Kenya
 
Walio tangulia wapumzike kwa amani , mzee Kenyatta, mzee moi na mzee kibali.

Ninachojifunza siasa za Afrika za kisasa na kutokubaliana na mawazo tofauti na unayoyaamini wewe na mirengo ya kiifuasi pamoja na ubinafsi rais wa pili kenya angekuwa Jaramogi Ajuma Odinga.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…