NYEKUNDU YA BIBI
JF-Expert Member
- Oct 27, 2017
- 2,301
- 2,977
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]mkuuu tangu juzi sikacheka ila imenifany nicheke kwa kiwango cha sgrwapi kiki tu izo kuna jamaa tunasoma nae aliandika kwa kutumia mavi kabisa lakini asaivi ni mbunge Jimbo flani uko MBEYA
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]hio avatar yako ni kipindi uko mtoto ulikua umesimisha masikio kama sungura wa sizitaki mbichi hizi
Jana tuu nimetoka kumcharaza mwanafunzi viboko. Eti kanitukana kwenye mlango wa choo.
Dah..kwa uzi huu..tutegemee kuta za mabenki na nyumba za ibada kuchafuka....kwa kifupi ni uzi wa KICHOCHEZI 🤣 🤣 🤣 🤣
HahahaUnajiona una MKOSI Kumbe Ulivyokua SHULE Ulikua Unaandika Jina Lako Kwenye Kuta za CHOO!
Alikwambia nani CHOONI kuna Baraka?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Unajiona una MKOSI Kumbe Ulivyokua SHULE Ulikua Unaandika Jina Lako Kwenye Kuta za CHOO!
Alikwambia nani CHOONI kuna Baraka?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ndio babe. Kumbe sikuwahi kukuambia.Baby kumbe ww mwalimu?
Matusi ya nguoni.Safi kabisa... Matusi ya nguoni ama?
Jana tuu nimetoka kumcharaza mwanafunzi viboko. Eti kanitukana kwenye mlango wa choo.
Unajiona una MKOSI Kumbe Ulivyokua SHULE Ulikua Unaandika Jina Lako Kwenye Kuta za CHOO!
Alikwambia nani CHOONI kuna Baraka?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ndio babe. Kumbe sikuwahi kukuambia.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Aliwazalo mtu ndio huwa... Mwandiko wake umebeba dhima na uhalisia wake... Kuna mahusiano ya moja kwa moja kiroho na majina tunayojipa imagine unajiita Magonjwa Mtambuka.... [emoji848][emoji12]
Ulijua nafanya kazi wapi babe?Hukuwahi love....
Hongera sanaa