Unajiona una mikosi?

Unajiona una mikosi?

Unajiona una MKOSI Kumbe Ulivyokua SHULE Ulikua Unaandika Jina Lako Kwenye Kuta za CHOO!

Alikwambia nani CHOONI kuna Baraka?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hahaha
 
Unajiona una MKOSI Kumbe Ulivyokua SHULE Ulikua Unaandika Jina Lako Kwenye Kuta za CHOO!

Alikwambia nani CHOONI kuna Baraka?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]mbavu zangu jamaniiiii
 
Bora yangu mi nilikuwa naandika kwenye kuta za nyumba za watu na kwenye kuta za fance
Unajiona una MKOSI Kumbe Ulivyokua SHULE Ulikua Unaandika Jina Lako Kwenye Kuta za CHOO!

Alikwambia nani CHOONI kuna Baraka?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hahaha mimi mmoja wapo nilikuwa naandika machata, lakini sio chooni [emoji75]
Mimi ilikuwa darasani tena juu ya ubao aseee.... Sema ilinicost sana aseee
 
Back
Top Bottom